Unadhani Manchester United itafuzu kucheza Champions League msimu ujao, Smalling atoa ya moyoni.
Beki wa mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chris Smalling ameelezea hisia zake juu ya kiwango cha timu yao hivi sasa, akitoa ishara kwamba kikosi cha David Moyes kinahitaji…
Baada ya kumsajili mchezaji mgonjwa, hii ndio kauli aliyoitoa Arsene Wenger.
. Kocha wa Arsenal mfaransa Arsene Wenger amekiri kwamba angeweza kuchagua kutokumsaini Kim Kallstrom kama angekuwa na muda zaidi wa kufikiria kuhusu dili hilo. Kallstrom, 31, alijiunga na Arsenal…
TV series ya 24 si inarudi… tazama kipisi chake hapa
Hapo juu ni moja ya sets wakati wa kushoot msimu mpya wa 24 ambayo ni TV series kwenye mtaa wa Cobb huko London UK ambapo Kiefer Sutherland a.k.a Jack Bauer…
Msaada uliotolewa na NMB kwa waathirika wa upepo mkali.
Meneja wa Tawi la NMB Mkwawa,Sumka Mbuba pamoja na Afisa Mikopo Grace Ndosa wakishusha vyakula vyenye thamani ya shilingi milioni tano kutoka kwenye gari ili kukabidhi kwa waathilika wa upepo…
Sikiliza magazeti yakisomwa Redioni leo Feb 03.
Hizi ni dakika 15 za kusikiliza kilichoandikwa ndani ya kurasa mbalimbali za magazeti ya leo February 03 kupitia Power Breakfast pia utapata nafasi ya kusikiliza Lugha 10 zinazotumika zaidi Duniani…
Magazeti ya leo February 03 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Baada ya kipigo cha Barca jana, haya ndio aliyoyasema Messi
Siku moja baada ya rekodi ya kutofungwa katika uwanja wa nyumbani wa Nou Camp katika mechi 25 kuvunjwa, mwanasoka bora wa dunia wa zamani kwa mara ya nne mfululizo Lionel Messi amekielezea…
Pipi aongeza familia mpya usiku wa February 2.
Moja kati ya wasanii waliowahi kuwa nyumba ya vipaji THT Mwanadada Pipi ambaye ameshwahi kuhit na single kadhaa ikiwemo ile waliyoshirikiana na Barnaba ya Njia Panda ambayo iliwaongezea mashabiki wengi…
Yaliyosemwa na mkurugenzi wa Bayern kuhusu Toni Kroos anayewindwa na Man U.
Bayern Munich wamesisitiza hawana mpango wa kumuza kiungo wao Toni Kroos kabla ya mkataba wake kuisha mnamo mwaka 2015. CEO wa Bayern CEO Karl-Heinz Rummenigge alisema mwezi uliopita kwamba klabu…
Sababu ya kuahirishwa kwa mechi ya AS Roma vs Parma
Mchezo wa mfululizo wa ligi kuu ya Italia kati ya mahasimu AS Roma na Parma umeahirishwa baada ya dakika 8 za mchezo baada ya mvua kubwa kunyesha na kufanya kuighalishwa…