Unayataka matokeo ya Mbeya City vs Yanga leo, ya Azam je?
Kutoka uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam mechi kati ya Yanga na Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania, Yanga imechukua ushindi wa 1-0 dhidi ya…
Hili ndilo tamko la Wafanyabiashara na Wajariamali wa Tanzania limetolewa February 2
Jioni ya February 2 Uongozi wa Jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania- JWT kwa niaba ya wafanyabiashara na wajasiriamali umetoa taarifa kwa wafanyabiashara wote na umma kwa ujuma kuhusu mashine za zinazotolewa…
Magazeti ya leo Jumapili February 2 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Namna Jokate alivyom’sapraiz’ Wema On Stage Arusha.
Unaweza kujikuta ukishindwa kuielewa hii hali lakini inabidi ukubaliane na ukweli halisi wa hiki kilichotokea,Jokate na Wema historia yao ilianzia kwenye shindano la kumtafuta Miss Tanzania 2006 ambapo Mshindi alikua…
Matokeo ya Simba na Jkt Oljoro yapo hapa.
Ile mechi iliyo kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara iliyokuwa inachezwa kati ya timu ya Simba na Jkt Oljoro kutoka 87.9 Arusha imekamilika leo kwenye uwanja wa Taifa Jijini…
Hiki ndicho alichokisema Marco Chali kuhusu project zake mpya.
Producer kutoka Mj Records Marco Chali ame-amplify kuhusu project anazotegemea kutoa ,miongoni mwa Project ambazo alizoahidi kuzitoa kuanzia February 3 ni project ya Madee ambayo kalishirikisha kundi toka ardhi ya…
Kuwa wa kwanza kusikiliza kionjo cha Wimbo mpya wa Barnaba unaoitwa Jasho la Mnyonge.
Barnaba Classic moja ya wasanii kutoka jumba la vipaji T.h.t. ameipa Exclusive millardayo.com kwa kutoa kionjo cha wimbo wake mpya wenye jina la Jasho la Mnyonge,Audio hii imekamilika na imefanywa…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 1 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Msikilize Mbwiga leo January 31.
Kawaida ya millardayo.com ni kukuendelea kukuweka karibu na kitu ambacho ulimis pengine kulingana na majukumu uliyonayo,naomba utumie dakika hizi 5 kumsikiliza Mbwiga akielezea birthday yake kesho itakavyokua na michezo kama…
Kuhusu Gari lililoungua moto jioni ya January 31.
Tukio la kuungua kwa gari hili limetokea barabara ya Nyerere jioni ya January 31 ambalo inahusisha hiyo Gari aina ya Coaster ambayo imewaka moto,chanzo cha moto huo bado hakijajulikana,millardayo.com inaendelea…