Mambo 6 aliyoyasema Young Dee kwenye interview ya Mkasi Novemba 17.
Kama hukuwa karibu na TV yako kuangalia show ya Mkasi on EATV November 17 2014 usiku haya ni mambo sita aliyoyazungumzia Rapper Young Dee kuhusiana na tatoo zake, anachikofikiria kukifanya…
Stori za Facebook,Twitter,Instagram za Novemba 17 ziko hapa
Kazi yangu ni kuhakikisha hupitwi na chochote ndio maana natumia muda wangu kukusanyia matukio mbalimbali kuanzia Ofisini,Barabarani,Mitaani mpaka kwenye Mitandao kama hii ya leo. Facebook ZITTO KABWE: Niseme nini? Mimi…
Wametumia hizi dakika 2 kutuonjesha movie mpya ya Fast & Furious 7 itakavyokuwa.
Kama mfululizo wa movie za Fast & Furious uko kwenye kumbukumbu zako basi baada ya kuitazama na hii unaweza kukufanya ukatamani kama ungekua na uwezo wa kuisogeza April 2015 iwe…
Ndio utajiuliza ilikuaje mpaka jamaa akaiba gari la Polisi kwenye mazingira haya.
Wakati flani nilipoitembelea Afrika Kusini niliambiwa na mwenyeji wangu kwamba wizi wa magari unafanyika hata barabarani, unaweza ukawa umesimama kwenye mataa ukisubiri uruhusiwe lakini ghafla watakuja majambazi na silaha wanazuziba…
Sasa hivi kivuko sio Kigamboni tu hata Dar – Bagamoyo wameletewa hiki kipya.
Foleni za Dar es salaam na matatizo yake imekua sio stori mpya tena ila ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka pamoja na hiki kivuko ndio habari ya mjini ambapo…
Wabunge walipoingilia kati Wasichana wanaovaa nguo fupi kuchaniwa mavazi hadharani.
Kutoka Kenya kikubwa kilichotawala mitandao na vyombo vya habari kwa mfululizo tangu wiki iliyopita ni kuhusu tukio la wanaume kuwachania nguo hadharani wanawake ambao wanawatuhumu kuvaa vibaya, leo katika taarifa…
Unajua sala aliyoifanya Mike Sonko pamoja na ujumbe alioutoa kwa wanaowachania nguo wasichana?
Jina la Mbunge wa Jimbo la Makadara Kenya, Mike Sonko sio jina geni, wengi tunamfahamu kutokana na vitu vingi ambavyo amekuwa akifanya ikiwa ni pamoja na aina ya maisha anayoishi…
Kama 255 ya November 17 2014 on XXL CloudsFM ilikupita, nimekuwekea hapa
Kama hukusikiliza 255 kuna story kadhaa ambapo Miss Info Dee Andy kama kawaida yake ameripoti info za kutosha kuhusu wakali kama Belle 9, Gosby, Dark Master, Chris Brown na wengine…
Picha kutoka kwenye himaya ya Mrisho Ngassa, kaoa tena na huyu ndio shemeji yetu
Ni staa wa soka ambae headlines zake nyingine za hivi karibuni zilihusu mke wake kumfikisha Mahakamani baada ya ndoa yao kuingia mifarakano. Jana November 16 2014 Ngassa amefunga ndoa na…
Kutoka mezani kwa Gossip Cop, hii ni You Heard ya November 17….
Jumatatu ya leo Novemba 17 2014 kupitia XXL ya Clouds Fm Gossip Cop Soudy Brown ametoboa kuhusiana na mwana Bongofleva ambaye uhusiano wake wa kimapenzi yamevunjwa na mzungu, unataka kumjua?…