Warioba hakudhalilishwa? ana Walinzi? serikali imesemaje?
Ni siku kumi na tano zimepita tangu kuripotiwa tukio la vurugu katika mdahalo wa Katiba uliohudhuriwa pia na aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba Katiba…
Stori 9 kubwa kwenye Magazeti ya leo Tanzania November 17 2014
MWANANCHI Waziri wa Maji Professa Jumanne Maghembe ameshangazwa na utitiri wa watu wanaotaka kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu 2015 akisema nafasi hiyo ya juu nchini haifanani na mashindano ya urembo…
Labda hautopenda hizi picha za harusi ya Solange zikupite…. kuhusu Jay Z kuhudhuria je?
Siku ya Novemba 16 kwenye millardayo.com kulikuwa na taarifa kuhusu sherehe ya kuagwa kwa Solange Knowles ambapo shemeji yake ambaye ni Jay Z hakuhudhuria sherehe hiyo, leo kuna story kuhusu…
#Goodnews video ya msanii wa Tanzania aliepata shavu la kuonekana asubuhi MTV BASE
Niliwahi kuuliza kwa mtu aliyewahi kufanya kazi kwenye vituo vikubwa vya TV Afrika kama MTV Base na Channel O akaniambia kila kitu huwa kinapangwa, yani nyimbo zinazochezwa zinapata nafasi kwa…
Nyingine kutoka NMB, ikufikie unaetaka kujua viwango vya kubadilisha pesa za kigeni
Ni post maalum kwako mtu wa nguvu ikiwa na lengo la kukujulisha viwango vya kununua na kuuza pesa za kigeni leo November 17 2014 Tanzania.
Nakukutanisha na dakika 3 za video mpya kutoka kwa Ash Hamman ‘It’s over’
Kama ulikuwepo kwenye Fiesta 2014 Dar es salaam utakua ulimuona kwenye stage mkali huyu ambae tayari ameanza kuwasogelea Wabongo kwa kufanya kolabo na MwanaFA pamoja na Joh Makini, anaitwa Ash…
Umekua busy? nimekurekodia hapa magazeti ya leo November 17 yakisomwa kwenye Radio
Huu ni mfululizo wa kukuletea kile kinachosomwa Magazetini kila siku kwenye show ya Power Breakfast ya CloudsFM kila siku asubuhi nikizingatia kwamba kuna uwezekano mkubwa asubuhi ukawa busy na ishu…
Kama ulikuwa mbali na Tv yako, hii ni news kutoka ndani ya Big Brother Africa
Ni siku ya 42 tangu kuanza kwa mashindano ya Big Brother Africa na idadi ya washiriki inazidi kupungua kadri siku zinavyozidi kusonga ambapo usiku wa Novemba 16 2014 washiriki wengine…
Umesoma makubwa yaliyoandikwa na Magazeti ya Tanzania leo Nov 17 ? yako hapa
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Behind the scene ya kwanza ya Ay kwenye video na Sean Kingston, nyingine zinakuja
Inawezekana mimi na wewe tunafahamu kwamba msanii wa Tanzania Ay alikwenda Marekani kufanya video na staa wa muziki duniani Sean Kingston lakini hatujapata nafasi ya kuiona video ya kwanza ikionyesha…