Majibu ya Shilole kwa shabiki aliyekosoa nyimbo za Bongo kuchezwa sana jumba la Big Brother Africa
Dj Tass kutoka Tanzania usiku wa November 14 2014 aliiwakilisha Tanzania baada ya kupewa mwaliko wa kwenda kuwarusha washiriki kwenye jumba la shindano la Big Brother Africa 2014 ambapo sehemu…
So Hemedy PHD amesema nyimbo gani 5 za Afrika Mashariki ni bora kwake?
Tunamfahamu kupitia single zake kwenye kiwanda cha muziki bongo lakini pia movie zake kwenye kiwanda cha movie Tanzania, Hemedy PHD ni miongoni mwa mastaa wa bongo ambao huwa hawaoni soo…
Baada ya Man City Roberto Mancini ameangukia wapi time hii?
Unaambiwa kwenye maisha hautakiwi kuwafanyia chochote kiubaya Watu unaokutana nao maishani au kumfanyia yeyote ubaya sababu hujui kesho na keshokutwa utakua wapi...... inawezekana Roberto Mancini aliifata hii kanuni na ndio…
Labda umesikia tu kituo kipya kilichochukua nafasi ya kile cha Ubungo, ninazo hapa picha zake 9
Kwenye hii picha ya kwanza inaonekana sehemu ya kupaki pikipiki aina ya Bajaji ambapo kibao chake kimezibwa kuzuia bajaji zisiingie ndani, kwenye siku ya kwanza bajaji zilikuwa zinaingia ndani na…
Picha nyingine 6 za jengo la Machinga Complex baada ya kuungua Nov 14.
Kiwango cha hasara bado hakijajulikana mpaka sasa lakini mashuhuda wanasema sehemu ya jengo hili la Wafanyabiashara ndogondogo 'Wamachinga' #MachingaComplex iliteketea kwa moto baada ya cheche za kuchomelea vyuma kuangukia kwenye…
Kama ulizikosa news za Nov. 14, hii ya serikali na dawa za kulevya ni miongoni mwa kubwa za siku
Kutokana na kuongezeka kwa kesi zinazohusisha usafirishaji na utumiaji wa dawa za kulevya Tanzania, serikali imeamua kuandaa mkakati mpya ambao utasaidia namna ya kupambana na tatizo hilo. Katika taarifa iliyoripotiwa na…
Na hii ya club za soka Tanzania kujengea Wachezaji nyumba ilikupita?
Mbunge wa Ileje Aliko Kibona ndio aliuliza swali bungeni akiwa na lengo la kutaka kujibiwa na Wizara ya michezo kuhusu sheria kwamba kila mwajiri ahahakikishe anapomlipa mfanyakazi wake bila kujali…
Mambo manne aliyoyatangaza Waziri wa afya bungeni Dodoma Nov 14.
Kama unafuatilia kikao cha Bunge toka ulipoanza mkutano wa 18, kumekuwa na swali ambalo limeulizwa zaidi kuhusiana na hatua ambazo Serikali imezichukua kunusuru hali mbaya ya huduma iliyopo katika Hospitali…
Baada ya Morocco kujitoa,hii ndiyo nchi itakayoandaa AFCON 2015
Wakati Shirikisho la soka la Afrika CAF likiipa adhabu nchi ya Morocco kwa kushindwa kushiriki michuano ya kombe la Mataifa ya Afrika mwakani baada ya kujitoa kwa madai ya kuhofia…
Umemsikiliza Gossip Cop kwenye XXL leo? Nimekuwekea U Heard hapa, unaweza kumsikiliza.
Story kwenye U Heard inahusu nyimbo iliyoenea mtaani ya msanii Dully Sykes ambayo amemshirikisha muimbaji Maunda Zorro, utata upo kwenye maudhui ya nyimbo hiyo. Dully amesema nyimbo hiyo ina maudhui…