Picha 7 kutoka Airport meneja wa T.I akiwasili Dar kwa ajili ya Fiesta
Ikiwa ni siku chache zimesalia za shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zitawale kwa wakazi wa 88.5 Oct 18 Leaders Club Dar es Salaam.Jason Geter ambaye ni meneja wa T.I amewasili…
Picha za Waje kutoka Nigeria akiwasili Dar kwa ajili ya Fiesta @Officialwaje
Msanii wa kwanza Waje kutoka Nigeria ameshawasili usiku wa kuamkia Oct 16 baada ya mameneja wa T.I kuwasili ambapo list nzima ya wasanii wa kimataifa bado imesalia kukamilika kwa ajili…
Magazeti ya leo October 16 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Umeona daraja la Kigamboni lilipofikia? picha zake 12 mpya ziko hapa
Daraja jipya la kutuvusha kati ya Kigamboni na upande wa pili wa Dar es salaam linaendelea kujengwa juu ya bahari katika Bahari ya Hindi eneo la Kurasini Dar es Salaam ambapo…
Bomu lililolipuka Cairo lasababisha maafa.
Bomu lililotengenezwa kienyeji huko Cairo, Misri limelipuka karibu na mahakama kuu siku ya Jumanne tarehe 14 mwaka huu na kujeruhi watu 12 ambapo gari na maduka yaliliyokuwa karibu ya eneo…
Umepata alichokisema Ommy Dimpoz kuhusu ile picha yake iliyosambaa?
Najua kama umekua karibu na mitandao ya kijamii kuanzia weekend iliyopita sanasana kwenye twitter na instagram utakua ulikutana na picha ya zamani ya Ommy Dimpoz aliyoipiga Kigoma ambayo ilisambaa kwenye…
Mmiliki wa Facebook amenunua huu upande wa kisiwa cha Hawaii.
Mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua sehemu kubwa ya kisiwa cha Hawaii iitwayo Kauai ambayo ni hekari 700 kwa dola za Kimarekani milioni 100 ambapo atakuwa…
Huyu ndio Mwanamke aliyefia uwanja wa ndege Kenya kwa tetesi za Ebola.
Kila mmoja amekua na hofu akisikia au kukutana na mtu alietoka kwenye nchi zilizoathirika na ugonjwa wa Ebola barani Afrika na ndio maana ubaguzi umeripotiwa katika nchi mbalimbali za Amerika,…
Magazeti ya leo October 15 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Ujerumani nayo imeingia kwenye headlines za Ebola, wa kwanza amefariki.
Mfanyakazi wa Umoja wa mataifa aliesafirishwa mpaka Ujerumani akitokea Liberia wiki iliyopita baada ya kupatwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola, amefariki dunia kwenye hospitali ya St. Georg Ujerumani. Kifo…