Picha za majengo yaliyoporomoka New York muda mfupi uliopita.
Majengo mawili yameporomoka New York Marekani ambapo mpaka sasa imetoka ripoti ya watu wawili kufariki na wengine kutoonekana huku 18 wakijeruhiwa na wanne wakikimbizwa hospitali. Chanzo cha majengo hayo kuporomoka…
Kutoka bungeni Dodoma saa kumi na mbili jioni March 12 2014.
Taarifa kutoka Mjengoni (104.4 Clouds Fm) hatimae Samuel Sitta ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la katiba kwa kupata jumla ya kura 487 kati ya kura zote 563 zilizopigwa…
Kutoka bungeni Dodoma saa kumi jioni March 12 2014.
Kutoka bungeni Dodoma ( 104.4 Clouds FM) sasa hivi ndio zinapigwa kura za kumtafuta Mwenyekiti wa kudumu wa bunge la katiba
Sikiliza jinsi wafanyakazi hawa walivyobadilishiwa majukumu yao kupitia Hekaheka ya leo.
Hii imetokea Songea ambayo ilisemekana kuna nafasi za kazi zilitangazwa Arusha hivyo kuwaomba wafanyakazi,waaliahidiwa mshahara wa 200,000 lakini walipofika wamekutana na mabadiliko makubwa. 88.0 Clouds Fm unasikiliza ukiwa Tabora. Bonyeza…
Baada ya kutajwa kuwa mwanasoka tajiri zaidi, hiki ndicho alichofanya Ronaldo
Siku chache baada ya kutajwa na mtandao wa habari za michezo wa Goal.com kuwa mwanasoka tajiri kuliko wote Ulimwenguni, Cristiano Ronaldo amefanya kitendo ambacho kimezidi kumpatia sifa ya kuisadia wale…
Baada ya Lord Eyez kwenye headlines sasa ni Ibra da hustler, haya ni maamuzi yake mapya
Ni siku kadhaa tu zimepita toka msanii wa hiphop Lord Eyez kudaiwa kuiba laptop kwenye gari lililokua limepaki kwenye hoteli moja Arusha kesi ambayo ilimpeleka mpaka polisi huku 'ikidaiwa' utumiaji…
Baada ya Tunda man kuzawadiwa benz na shabiki, huyu ni msanii mwingine bongo aliezawadiwa hili gari
Kwenye moja kati ya Exclusive za millardayo.com mwaka juzi kabla ya AyoTV kuanza kufanya kazi online, ilikua ile stori ya msanii Tunda Man ambae alionyesha gari aina ya Benz alilozawadiwa…
Video: Hivi ndivyo akina Diego Costa walivyowanyanyasa akina Balotelli
Atletico Madrid jana ilifanikiwa kuiondoa AC Milan kwenye michuano ya klabu bingwa ya ulaya baada ya kuifunga 4-1 katika mchezo wa pili wa hatua ya 16 bora.
Kama ulimis mechi, angalia mabao ya mchezo wa Bayern vs Arsenal
Klabu ya Arsenal jana ilitolewa kwenye michuano ya klabu bingwa ya ulaya baada ya kutoka sare ya 1-1 na Bayern Munich. Highlights Bay Ars by goalsandmore
Hiki ndicho walichokifanya NMB ili kuwakomboa vijana Kiuchumi.
Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni tatu yaani Fair Deal Auto Private Ltd inayosambaza pikipiki za miguu miwili na mitatu aina ya Bajaji,kampuniyaCar & General Limited Ltd inayosambaza pikipiki…