Habari 10 za Amplifaya March 17 2014
Amplifaya ni mkusanyiko wa stori 10 za siku ambazo hazina mipaka, iwe siasa michezo, movies, maisha, muziki au kingine chochote utakisikia ndani yake. Kwa matukio zaidi ya kila siku nje…
Ratiba ya Mkutano wa bunge maalum imetoka kuanzia leo Tar 17- 21 March.
Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum inawatangazia Wajumbe wa Bunge Maalum na umma kwa ujumla kuwa Mkutano wa Bunge Maalum utaendelea mjini Dodoma leo kwa ratiba ifuatayo: Tarehe 17/3/201 kuanzia…
Namna Young Dee feki alivyotapeli Digital Camera Mbeya.
Hili ni tukio ambalo linakua kwenye records za wasanii mbalimbali wa Tanzania waliowahi kuhusishwa uhalifu kwa majina yao ambao baadhi yao hutambulika mapema kuwa sio wahusika,Leo Soud Brown ana-amplify taarifa…
Hii ndio nyumba ya Mheshimiwa Temba kapewa na Meneja wake.
Muziki wa Tanzania unazidi kuingia kwenye headline hasa inapotokea kwenye vitu vikubwa kufanyika,mwishoni mwa mwaka jana siku ya Birthday ya Babu Tale,Madee alimkabidhi gari ya kutembelea Meneja wake huyo Babu…
Umesikia kuhusu alichofanyiwa Dereva Bodaboda kutoka Morogoro?sikiliza kupitia Hekaheka ya leo.
Matukio ya uporwaji wa pikipiki kwa madereva wa Bodaboda umekua ukitangazwa kila siku kwenye maeneo tofauti ya jijini Dar huku wezi hao wakitumia mbinu nyingi na za kisasa,asa hii hapa…
Kikwete aipa Simba kiasi hiki cha pesa kwa ajili ya uwanja
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Jakaya Mrisho Kikwete ameipa klabu ya Simba Sh 30 milioni kwa ajili ya kukomboa hati yao ya kiwanja cha Bunju B, Dar…
Tegete aambiwa arudi shule au ahame Yanga
BABA mzazi wa straika wa Yanga Jerry Tegete, John Tegete amemtaka mwanae achague mawili ifikapo mwisho wa msimu huu iwapo ataendelea kusugua benchi kwenye kikosi hicho. Kocha huyo wa zamani…
Hii hapa video mpya ya Izzo B.
Izzo B ni miongoni mwa wasanii wanaowakilisha 87.8 Clouds Fm Mbeya hii ni video ya wimbo wake mpya uitwao Tummoghele ambapo upande wa audio yake ilitoka wiki chache zilizopita,tumia dakika…
Video: Lionel Messi aweka rekodi mpya – Barca wakiua Osasuna 7-0
Lionel Messi jana alifunga mabao matatu kati ya 7 yaliyofungwa na FC Barcelona dhidi ya Osasuna katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania uliochezwa jana. Mabao hayo matatu yamemfanya Messi…
Kama ulimis mechi ya Arsenal vs Spurs – nimekuwekea video hii hapa
Pambano wa la watani wa jadi wa jiji la London ya Kaskazini baina ya Arsenal dhidi ya Tottenham lilopigwa jana licheki hapa chini.