BREAKING: Uliwahi kusikia kuhusu huyu mtu aliyewaua Wanawake mbalimbali kwa risasi Arusha?
Uliwahi kusikia zile stori za Arusha kwamba Wanawake wanauwawa hovyo kwa risasi wakiwa kwenye magari yao nje ya mageiti ya nyumba na sehemu nyingine? uliwahi kusikia kuhusu wanaotuhumiwa kuhusika na…
Huyu ndio mtoto ambae Polisi wa Kenya wamemuokoa akija kuuzwa Tanzania. (picha na maelezo)
Ni pale ambapo unaweza kuvuta picha baba anajaribu kufanya mbinu za kumsafirisha mtoto wake kwenda nchi ya pili ili akamuuze kwa watu ambao ameshazungumza nao kabisa na wako tayari wanasubiria…
Rich Mavoko yuko na hii saa hii !! ni video mpya kwenye headlines
Ni siku chache tu zimepita toka achukue headlines na video aliyoifanya South Africa chini ya Director Adam Juma, sasa hivi anaingia kwenye headlines nyingine na hii video yake mpya ambayo…
Fedha walizotumia Barcelona kuwaleta marafiki Neymar kwenye utambulisho wake
Usajili wa kumleta Neymar Dos Santos katika klabu ya FC Barcelona uligubikwa na utata mkubwa na hatimaye ulimgharimu Sandro Rosel kazi yake ya urais katika klabu hiyo ya Catalunya. Mwanzoni…
Uliziona hizi? na hii Tshirt ya maneno ya Kiswahili aliyovaa Seneta wa Nairobi ikiwatusi ‘wazungu’ ?
Mike Sonko ni yule Mwanasiasa mwenye vituko ambae alipata umaarufu sana toka akiwa mbunge kwa kuwa na swagg zake kivyakevyake, alikua mbunge kijana ambae anaingia na hereni bungeni, blingbling kibao…
Picha 5 na maelezo yanayomuhusu Mgonjwa aliefariki kwa Ebola Marekani
Familia ya mgonjwa wa kwanza wa Ebola aliefia nchini Marekani imelalamika kwamba kama ndugu yao angepewa uangalizi na matibabu kama inavyotakiwa basi asingepoteza uhai wake. Thomas Duncan alietokea Afrika Magharibi…
#GoodNews: Tanzania ndani ya Treni Tokyo Japan !
Hii ni moja ya zile stori na pichaz ambazo zitaingia kwenye list ya vitu 100 vya Tanzania vilivyochukua headlines zake kwenye nchi mbalimbali duniani kwa kutumiwa, kuonekana au kuzifikia nchi…
10 kubwa za AMPLIFAYA Oct 9 2014, Ronaldo, Uhuru Kenyatta, Fid Q, bibi aliefariki na mengine
Amplifaya ni show ambayo husikika kila Jumatatu mpaka Ijumaa on CloudsFM saa moja usiku ikiwa na mkusanyiko wa habari 10 kubwa za siku pamoja na stori nyingine za mitandaoni na…
Umesoma makubwa yaliyoandikwa na Magazeti ya Tanzania leo Oct. 10 ? yako hapa
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Simba kukipiga na timu hii kubwa ya South Africa kujiandaa dhidi ya Yanga
Katika kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga tarehe 18 Oktoba 2014, Simba itacheza mechi ya kujiandaa kwa kuingia kwenye uwanja na club kubwa ya Afrika Kusini. Simba ambayo iliondoka nchini…