Nchi za wenzetu hazikosi mambo…. tazama Trafiki wanaocheza wakiongoza magari
Mara nyingi tumezoea kuona askari wa usalama barabarani wakiwa kwenye kazi serious ambapo kwa Tanzania ni mmoja tu niliwahi kumuona anachangamka na kuchezacheza akiwa anaongoza magari kwenye taa za barabarani…
Story 3 nyingine kubwa za Uganda wiki hii
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Merdic amefariki katika hospitali ya Mango Jijini Uganda baada ya kuugua ugonjwa Marburg. Wizara ya Afya nchini humo imesema inashikilia watu79…
Uliiona hii picha ya Polisi wa Tanzania iliyosambaa mitandaoni? hatimaye maamuzi yametangazwa
Kama kila siku huwa unaingia facebook, whatsapp au instagram inawezekana ukawa ulikutana na hii picha ya Askari Polisi ambao walipigwa picha wakiwa wanakiss wakiwa ndani ya sare za jeshi hilo.…
Stori 10 hot kutoka magazeti ya leo Okt9
NIPASHE Madaktari watano kutoka Tanzania wamejitolea kwenda nchini Sierra Leone na Liberia kutoa huduma kwa wagonjwa wa ebola. Madaktari hao ambao ni wataalam wa magonjwa ya milipuko waliondoka nchini jana…
Mabibi na Mabwana, Nakaaya ametuletea hii video yake mpya leo
Nakaaya ni staa wa bongofleva ambae ujazo wa jina lake ulitokana na 'Mr. Politician' ambapo baada ya hapo aliendeleza harakati zake kwenye huu muziki mpaka alipopata ajali Arusha ambayo ilimfanya…
Simba wakwea pipa kwenda kuiwinda Yanga – Staa wao huyu aachwa
Zikiwa zimebakia siku 10 kabla ya kujitupa uwanjani kupambana na mahasimu wao wa jadi - Yanga, klabu ya Simba imeamua kuhamisha kambi yao kwenda nje ya nchi. Msafara wa kwanza…
Magazeti ya leo October 9 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video)
Rapper Jay Z na mke wake wapo Paris Ufaransa wiki hii ambapo wakati Jay akiwa kwenye matembezi huku akiwa amembeba mtoto wake ilitokea mmoja wa Watalii baada ya kumuona Jay…
Breaking: Taarifa mpya kuhusu yule mgonjwa wa Ebola Marekani.
Thomas Eric Duncan mwanaume aliesafiri kutoka Liberia mpaka Marekani akiwa ameambukizwa virusi vya ugonjwa wa Ebola amefariki muda mfupi uliopita nchini Marekani baada ya kuwa kwenye hali mbaya kwa muda…
Picha 12 za gari alilonunua msanii Shetta na mambo matatu aliyoyasema kwa wanaotaka kufanikiwa.
Lengo lilikua ni kukutana na Shetta kwa ajili ya kufanya interview kuhusu Tour yake ya Kerewa aliyotembea nayo kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania na nje ya Tanzania kwenye maeneo mbalimbali…