Hapa nimekurekodia Magazeti yakisomwa Redioni leo October 01.
Ahadi yangu kwako ni ile ile kuwa nawe pamoja kwa chochote kinachonifikia iwe ni usiku au mchana,pengine ulikua busy hukufanikiwa kusikiliza Magazeti yakisomwa nimeona nikurekodie mtu wangu usikilize kilichoandikwa kwenye…
UCL: PSG walivyoivunja rekodi ya Barcelona msimu huu – Beyonce na Jay Z wakishuhudia
Mwanasoka wa kibrazil David Luiz jana usiku alikuwa mchezaji wa kwanza kuifunga goli FC Barcelona katika msimu mpya wa soka barani ulaya. Luiz alifunga goli hilo katika dakika ya 11…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 01 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Mkasi TV yamuhoji Gardner G. Habash… aliyoyaongea ni pamoja na haya.
Mtangazaji Gardner G. Habash ni miongoni mwa Watangazaji hodari ambao Tanzania imewahi kuwa nao ambapo alianza kwa kusikika kupitia CloudsFM kwenye shows mbalimbali ikiwemo Jahazi kabla ya kuanza kazi. Wakati…
Baada ya ushindi wa tuzo mbili… hii ni post nyingine ya Ray Instagram
Ni post ya mwigizaji staa wa Tanzania Ray 'Vicent Kigosi' instagram ambayo ni baada ya kupata tuzo mbili juzi ambazo ni Life achievement Award na Best Director. Ameandika >>> 'Kila…
Ukisikia Kigali Rwanda…. ndio hii! picha zaidi ya 20 za mitaa mbalimbali ziko hapa
Wataalamu wa mambo wanasema kwa jinsi mji wa Kigali unavyojengwa majengo ya kisasa wakati huu, miaka 10 baadae sifa itaongezeka maradufu kwenye list ya miji ya Afrika inayotolewa sana mifano…
#Tweets16: Kuhusu ugonjwa wa moyo kwa vijana Tanzania, Tibaigana kuhusu Rais Dikteta na mengine
Kila siku kwenye page ya twitter ya @millardayo huwa nakuandikia sentensi muhimu za zile stori zote kubwa na zinazogusa kutoka kwenye magazeti mbalimbali ya Tanzania ambapo kwa leo September 30…
Ulisikia ile show ya Jose Chameleone ambayo kiingilio ni milioni moja? amezitaja sababu 3 hapa
Kwa hapa Tanzania tumezoea show kubwa kama Fiesta tunaona mastaa wakubwa kama Rick Ross, Ludacris na wengine kwa kiingilio kisichozidi elfu 20 ambapo mwaka huu anashuka T.I October 18 lakini…
Maneno ya Rais wa Simba baada ya hizi droo zao ligi kuu
Rais Simba Evans Aveva kwa mara ya kwanza amefungua mdomo wake na kulizungumzia suala la sare mbili katika mechi zao za Ligi kuu bara ambapo Rais huyu amewataka mashabiki na…
Stori kubwa magazetini leo September 30 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…