Kesi ya Emmanuel Mbasha imesogezwa tena mpaka October.
Kesi ya mwimbaji wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha imepigwa kalenda kwa mara nyingine tena kwa sababu Hakimu anayeendesha kesi hiyo kupata shughuli nyingine nje ya ofisi. Mbasha alipanda kizimbani…
Dakika 16 za kusikiliza uchambuzi wa Magazeti leo Sept 22.
Unapopata nafasi ya kupitia kurasa za magazeti mbele na nyuma,millardayo.com inakupa nafasi nyingine ya kusikiliza uchambuzi huu ambao unayahusu magazeti ya siku husika,hapa yanasomwa na kuchambuliwa na PJ. 88.4 Clouds…
Pichaz jinsi Serengeti Fiesta 2014 ilivyopokelewa kwa shangwe 88.5 Morogoro
Show ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika Jumapili,Sept 21 kwenye uwanja wa Jamhuri Stadium imefana baada ya wakazi wa (88.5) Morogoro kupokea kwa shangwe burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali Tazama picha…
Magazeti ya leo September 22 2014 na stori kubwa za Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
EPL: Matokeo ya Man City vs Chelsea haya hapa
Baada ya Man United kupokea kipigo kutoka kwa Leicester City, miamba mingine ya ligi kuu ya Uingereza Chelsea ilijitupa uwanjani kucheza na Manchester City. Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa…
EPL: Mazito yaikuta Man United – haya hapa matokeo yao dhidi ya Leicester City
Ligi kuu ya Uingereza imeendelea tena jioni ya leo kwa mchezo kati ya Manchester United dhidi ya timu iliyopanda daraja ya Leicester City. Man United ambao walishinda mechi iliyopita ya…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo September 21 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
EPL: Kama uliikosa mechi ya Liverpool vs West Ham matokeo haya haya
Baada ya kupokea kipigo kutoka kwa Manchester City, na Aston Villa - klabu ya Liverpool leo imejitupa uwanjani kucheza dhidi ya West Ham United katika dimba la Upton Park. Liverpool…
EPL: Matokeo ya Arsenal vs Aston Villa haya hapa
Ligi kuu ya Uingereza imeendelea tena leo kwa michezo kadhaa kupigwa kwenye viwanja tofauti nchini humo. Arsenal wakiwa ugenini Villa Park, walicheza dhidi ya Aston Villa, mayokeo ni ushindi kwa…
LaLiga: Hiki ndicho Rea Madrid walichoifanya Deportivo La Coruna
Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo dhidi ya Real Sociedad na mahasimu wao Atletico Madrid, leo hii kikosi cha Real Madrid kilijitupa uwanjani kucheza dhidi ya Deportivo La Coruna. Mchezo…