UCL: Hivi ndivyo Real Madrid walivyoanza utetezi wa ubingwa wao wa ulaya vs FC Basle
Hatimaye ligi ya mabingwa wa ulaya imeanza tena kwa michezo kadhaa kupigwa usiku wa leo huku mabingwa wa watetezi Real Madrid wakianza kuutetea ubingwa wao kwenye mchezo dhidi ya FC…
Maneno ya Peter Manyika kuhusu tuhuma za kumtelekeza mama yake mzazi.
Hii ni stori ambayo inaelekea kugusa zaidi mambo ya ndani ya kifamilia ambayo yapo baina ya mama mzazi wa Peter Manyika pamoja na Peter Manyika mwenyewe,baada ya mama mzazi kusikika…
Kutoka Tabora huyu ndiye Serengeti Super Nyota Divaz 2014.
Nyota ya msichana ambaye ahadi ya Diamond Platnumz ni kupiga nae collabo ni kutoka kwenye mashindano haya ya Serengeti Super Nyota Divaz 2014 ni nafasi ya kila msichana mwenye kipaji…
Maneno ya Mama mzazi wa Peter Manyika aliyosema kuhusu mtoto wake kumtelekeza.
Stori hii ambayo amei amplify Soudy Brown inahusu familia ya mcheza mpira Peter Manyika ambaye aliwahi kuwa kipa wa Taifa Stars,inasemekana kamtelekeza mama yake mzazi. Mama yake mzazi Peter Manyika…
Mke aliyeamua kwenda kumfumania Mumewe #HEKAHEKA
Ni stori ambazo huwezi kumaliza miezi 3 bila kusikiliza zimetokea mitaa mbalimbali ya uswahilini ambayo jamii kubwa tunaishi huko,Hii kutoka idara ya Hekaheka tena ambayo inashuka na stori ya Mke…
Sikiliza Mbwiga alivyoamua kuperuzi na kudadisi leo Sept 16
Mbwiga Mbwiguke mkali wa Sports Extra ambaye siku hizi pia anasikika kwenye kipindi cha Power Breakfast,leo ameamua kuvaa viatu vya PJ na kuperuzi na kudadisi akisaidia na Gerald Hando. 98.6…
Stori kubwa magazetini leo Sept 16 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Picha 48 za Serengeti Fiesta Tabora,Dudubaya nae ndani.
Ahadi yangu kwa wewe msomaji wa millardayo.com ni kukupatia list ya mikoa iliyofanya vizuri kwenye msimu wa Serengeti Fiesta 2014 bado ipo pale pale,ingawa kuna muda hua inanichanganya. Tabora siku…
Hapa nimekurekodia Magazeti yakisomwa Redioni leo Sept 15.
Taratibu za millardayo.com ni kuhakikisha hupitwi na kitu chochote kinachonifikia bila kujali muda mtu wangu iwe usiku au mchana,unapomaliza kusoma vichwa vya habari nakupa nafasi ya kusikiliza uchambuzi wake. Kutoka…
Umeyaona makubwa yaliyoandikwa na magazeti ya Tanzania leo Sept 15 2014? Udaku, Michezo na Hardnews hapa
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…