La Liga: Matokeo ya FC Barcelona dhidi ya Athletic Bilbao
Ligi kuu ya Hispania maarufu kama La Liga imeendelea leo kwa michezo kadhaa kupigwa - FC Barcelona waliikaribisha Athletic Bilbao kwenye dimba la Nou Camp. Mchezo huo uliomalizika muda mfupi…
EPL: Matokeo ya Chelsea vs Swansea City
Mchaka mchaka wa ligi kuu ya England umeendelea tena jioni hii kwa mchezo uliowakutanisha vilabu viwili vilivyokuwa vikishika nafasi ya kwanza na ya pili katika msimamo wa ligi kuu ya…
EPL: Matokeo ya Man City vs Arsenal haya hapa
Baada ya mapumziko ya takribani siku 14, hatimaye ligi kuu ya England imerejea tena leo kwa mchezo mkali kati ya Man City dhidi ya washika bunduki Arsenal. Mchezo uliopigwa kwenye…
#Exclusive: Mama Nay wa Mitego ana wasiwasi na mwanae.
Mama mzazi wa mkali wa bongofleva Nay wa Mitego ameongea kwa mara ya kwanza na millardayo.com na kusema ana wasiwasi na mwanae ambae hivi karibuni ametoa video mpya aliyoifanya nchini…
Makubwa ya magazeti ya Tanzania leo Sept 13 2014.. Udaku, Michezo na Hardnews.
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za…
AyoTV: Unataka kuona shangwe walilopata Stamina na Young Killer Fiestani Shinyanga?
Stamina na Young killer ni miongoni mwa mastaa wa bongofleva walioshangiliwa sana kwenye hii show ya Serengeti Fiesta Shinyanga September 12 2014 ambayo watu wa Shy town walikuja kwa wingi…
Pointi 5 za Job Ndugai kuhusu katiba mpya… gesi, kuahirishwa mchakato, bunge na mengine
Job Ndugai ni Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania lakini pia ni mjumbe kwenye bunge la katiba na pia mwenyekiti wa kamati namba 8 kwenye bunge…
Familia ya Reeva imesemaje baada ya maamuzi ya Jaji kwenye kesi ya mauaji?
September 12 2014 Mahakama ya Pretoria nchini Afrika Kusini ilimpata Oscar Pistorius na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia kwenye siku ya Wapendanao February 14 2013. Baada ya maamuzi…
Pichaz za jinsi Serengeti Fiesta 2014 ilivyovunja Shinyanga Sept. 12 !!
Kwa mara nyingine tena kwa mwaka 2014, Shinyanga umekua mkoa mwingine uliovunja rekodi ya kumaliza ticket zote za show kutokana na mapokezi mazuri ya watu wa nguvu wenye mapenzi na…
Taarifa ya kuungua tena msikiti wa Mtambani wa Dar es salaam.
Hii ni mara ya pili kutokea hitilafu ya umeme ambayo imesababisha moto kwenye msikiti wa Mtambani uliopo Kinondoni Manyanya baada ya mara ya kwanza ambapo uliungua tena August 13 mwaka…