Alichokiandika Steve Nyerere kuhusu kujiuzulu uongozi Bongo Movie.
Kupitia mtandao wa picha yaani Instagram aliyekuwa Rais wa Bongo Movie Unity,Steve Nyerere leo ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo kwenye klabu hiyo ya Bongo Movie huku akishindwa kuweka sababu iliyomfanya kujiuzulu.…
Picha 6 kutoka kwenye video ya Ni penzi ya Damian Soul ft. Joh Makini
Anaitwa Damian Soul kipaji kingine kutoka Tanzania ambacho kinafanya muziki wa Rnb,hii singo yake inaitwa Nipenzi ambayo ina miezi kadhaa tangu itoke kashirikishwa Joh Makini. Hizi ni picha za utangulizi…
Stori kubwa magazetini leo Sept 12 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Uliikosa picha aliyoiweka Rais Kikwete twitter baada ya kukutana na Wapinzani na alichoandika?
Baada ya kukutana na viongozi wa vyamba mbalimbali vya upinzani Tanzania na kuzungumzia ishu ya bunge la katiba, iliamuliwa kwamba katiba ya zamani ndio itakayotumika kwenye uchaguzi mkuu ujao ila…
Mabibi na Mabwana… hawa ndio mastaa wengine wa Marekani walioitembelea Tanzania.
Siku hizi stori za mastaa wa dunia kuja kuitembelea Tanzania sio moja wala mbili manake wamekua wakija wengi tu na hawaachi kuipa nchi hii matangazo ya bure kwenye kurasa zao…
U heard ya September 11 inayomuhusu Izzo B iko hapa
Inawezekana ni kufanana kwa melody au namna ya uimbaji ambayo hufanya mahadhi ya wimbo mmoja kwenda mwingine kufanana,miongoni mwa nyimbo zilizotajwa kuwa za mfumo huo ni wimbo wa Izzo B.…
Ulikua mbali na TV? nimeangalia bunge la katiba kwa niaba yako leo nikakuchukulia hii ya John Cheyo.
Bunge la katiba linaendelea na vikao vyake kwenye mjia wa Dodoma 104.4 ambapo leo miongoni mwa waliowasha vipaza sauti na kuongea ni pamoja na Kingunge Ngombale Mwiru na John Cheyo…
Kilichosemwa na Mahakama leo kuhusu kesi ya Oscar Pistorius Afrika Kusini
Oscar Pistorius ni mwanariadha wa Afrika Kusini ambae amekua kwenye headlines kutokana na ishu yake ya kutuhumiwa kumuua mpenzi wake kwa risasi Valentine's day mwaka jana. Taarifa mpya za Mahakama…
Ile stori ya Mwalimu kuamuru Wanafunzi wamzomee Mzazi Dar. #hekaheka
Hekaheka ya leo September 11 2014 ni muendelezo wa ile hekaheka ya Mwalimu kuamrisha Wanafunzi kumzomea Mzazi pamoja na mtoto wake ambae ni mwanafunzi kwenye shule hiyo Dar es salaam.…
Sababu za kufukuzwa kazi Rais wa shirikisho la muziki Tanzania.
Hii ni moja ya stori kubwa za Magazeti ya leo Tanzania ambapo gazeti la Uhuru limeandika kwamba Rais wa shirikisho la muziki Tanzania Addo Novemba amefutwa kazi baada ya kuhusika…