Kama hukusikiliza Magazeti yakisomwa,hapa nimekurekodia yote ya leo Sept 11.
Miongoni mwa stori kubwa katika uchambuzi huu wa leo ni pamoja na ile kesi inayomkabili Daniel Yona ya matumizi mabaya ya fedha za serikali kiasi cha kuiingizia hasara ya shilingi…
Kwenye rekodi za 2014 na hii ya huyu Mungu anaeonekana Kenya imo.
Kituo cha TV cha K24 kiliripoti juu ya uwepo wa Mungu nchini Kenya ambae ibada zinafanyika nyumbani huku yeye mwenyewe akisema 'Mimi ni Mungu, nimekuja kuvunja mambo yote yaliyoandikwa' Zaidi…
Unapenda Fashion? hizi ni pichaz kutoka Fashion Rocks
Fashion Rocks 2014 ilifanyika kwenye mji wa New York Jumanne ya Sept 9 and it was all about celebrating music and style kwa mujibu wa blogger Necole Bitchie ambapo mastaa…
Hii ni kwa wale Wanafunzi waliotaka kujiunga na vyuo vikuu Tanzania
Kwa ufupi ni kwamba Tume ya vyuo vikuu imetangaza kwamba Wanafunzi wapatao elfu 12 wanaotaka kujiunga na elimu ya vyuo vikuu Tanzania wamekosa nafasi za kujiunga na vyuo hivyo kwa…
Makubwa ya magazeti ya Tanzania leo Sept 11 2014.. Udaku, Michezo na Hardnews.
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za…
Picha 18 za nyumba ya leo… hii ipo Slovakia!
Kuna uwezekano ukawa unataka kuirekebisha nyumba yako, kuijenga au hata unayo ndoto ya kutaka kuishi kwenye nyumba nzuri lakini hujapata design nzuri ya nyumba unayoitaka.......... hayo yote unaweza kuyapata kwenye…
Usingizi ni noma… huyu jamaa wa Japan naye alitia fora.
Usingizi ni kitu kingine ambacho kinaweza kuwa kigumu kukizuia pale kinapotaka kuchukua nafasi yake, sio ajabu kukutana na mtu kasinzia kwenye daladala, ofisini au darasani ambao wengi tumewaona wakisinzia wamekaa…
Good news!! Mtanzania mwingine kwenye headlines… kapewa vyeo BET.
Kabla ya kuanza kukupa info kuhusu huyu Mtanzania nataka nikukumbushe headlines chache za Watanzania walioingia kwenye headlines za kimataifa hivi karibuni. Ni CloudsTV International kufungua ofisi Kingston Jamaica ambayo itahudumia…
Sentensi nyingine za Samwel Sitta na UKAWA Sept 10 kuhusu bunge la katiba.
Wakati wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiendelea kujadili sura za rasimu ya Katiba mpya Mwenyekiti wa Bunge hilo SAMWEL SITTA amesema inatafutwa namna bora ya kuwawezesha wajumbe waliopo nje…
Jipya kuhusu uhusiano wa Pnc ni hili ambalo limemhusisha jamaa wa Saloon.
Miongoni mwa wasanii ambao wanawakilisha kanda ya ziwa ni pamoja na PNC ambaye baada ya kuhamia Dar es salaam kimuziki alijiunga na Tip Top Connection baadae Mtanshati chini ya Ostaz…