Uliipata ile ya Nabii Tito?leo wamezungumza Dr.Isack Maro na Anti Sadaka.
Kama uliiskiliza Hekaheka ya jana ambayo ilikua ikimhusu Nabii mmoja aliyejipa jina la Nabii Tito anayepatikana maeneo ya sinza,ambapo mahubiri yake yako tofauti na maagizo anayofundisha Mungu kwenye vitabu vyake.…
Picha 2 za ajali ya Kifaru cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) iliyoua leo Lindi.
Ni taarifa ambayo imethibitishwa pia na kamanda Mpinga na kweli imehusisha kifaru cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) saa kumi na moja alfajiri ambapo kifaru kimoja chenye tairi kwenye msafara…
Snura mezani kwa Soudy Brown,kuhusu stori zinazosema kuwa ni mjamzito.
Kupitia singo zake za Majanga,Nimevurugwa na Ushaharibu zimefanya Tanzania na nje ya Tanzania kumfahamu Snura ambaye style ya muziki wake na namna ambavyo anaperfoam on stage imemfanya kuwa na mashabiki…
Hizi ni dakika 17 za uchambuzi wa Mgazeti leo Sept 10 2014.
Kutokana na kuwa busy mtu wangu inawezekana umeshindwa kusikiliza wakati makubwa haya ya leo yakisomwa na kuchambuliwa hewani kwenye kipindi cha Power Breakfast nimeona nikurekodie ili usikie kwa muda wowote…
Stori kubwa magazetini leo Sept 10 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku kuanzia ya Udaku, michezo na hardnews kabla ya saa mbili kamili asubuhi, ukishayasoma ya leo unaweza kuwa mwanafamilia wa…
Ujio mpya wa Jux umeusikia?kama bado ni huu hapa.
Miongoni mwa mastar wa Tanzania wanaofanya Bongo Fleva ambao wana mashabiki wengi wa kike ni pamoja na Jux inawezekana labda aina ya muziki anaoufanya kuwagusa wasichana wengi. Zimesikika zingle zake…
Picha 3 za kituo cha Polisi kilichovamiwa Geita alafu Polisi wawili wakauliwa na watu wenye silaha.
Nilisoma moja ya gazeti lililokua limeandikwa IGP atangaza dau la milioni 10 kwa yeyote atakaefichua wanaohusika na uvamizi wa kituo cha Polisi ambao pia walifanya mauaji ya Polisi wake wawili…
Labda hizi video zilizorekodiwa magari yakipata ajali nchi za wenzetu zitakupa kuwa makini
Wakati ambapo kampuni mbili za mabasi ya J4 na Mwanza coach zimefungiwa kutokana na mabasi yake kugongana na kusababisha vifo vya watu 39 Musoma Tanzania, ni wakati wa kujifunza na…
Shakira ni mjamzito tena… jinsia ya mtoto ajae yajulikana!
Ni kweli kwamba mwimbaji Shakira anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili? jibu ni ndio... na hii imethibitishwa na mama yake mzazi. Gazeti la Hola la Hispania limeripoti kwamba mama mzazi…
Sauti kutoka bunge la katiba, Musa Azzan na wenzake kuhusu uraia pacha, Mahakama ya kadhi na mengine
Kazi yangu kuhakikisha hupitwi mtu wangu ndio maana nimekurekodia pia sehemu ya yaliyozungumzwa kwenye bunge la katiba September 9 2014 ambapo kubwa lililozungumzwa na Wajumbe wengi ni ishu ya Uraia…