Idara ya Hekaheka imekuja na hii tena,kuhusu mke aliyemkimbia mume wake bila kutaja sababu.
Ingawa mke huyo amekataa kutaja sababu za kumkimbia mume wake na kuamua kuanzisha maisha yake binafsi lakini Mume wake kwa mujibu wa mashuhuda waliofanikiwa kushuhudia tukio hili wamesema kuwa mume…
Baada ya Okwi kuidhinishwa Simba, hiki ndio walichoamua Yanga
Siku moja baada ya shirikisho la soka nchini TFF kumtangaza mchezaji Emmanuel Okwi kuwa huru na hivyo anaweza kusajiliwa na klabu ya Simba - leo hii uongozi wa klabu ya…
Picha 16 za ajali nyingine ya Basi Dodoma leo, alikuwemo pia meneja wa Dr. Cheni
Aliekuwemo kwenye hili basi ndio amenitumia hizi picha na kuniambia watu wasiozidi watano wamefariki dunia wengine zaidi kujeruhiwa baada ya basi lao kuanguka Mkange Berega. Basi linaitwa Air Bus na…
Sentensi 5 zenye stori za Magazeti ya Tanzania leo Sept 8.
1. Kama ulitozwa faini barabarani mwaka jana au mwaka huu basi ujue mkwanja wako ni sehemu ya hii hesabu mpya........... unaambiwa faini zinazotozwa na askari wa usalama barabarani zinaiingizia serikali…
Nimekurahisishia kazi kama ulikua mbali na Radio mtu wangu, nimekurekodia magazeti yakisomwa leo.
Kazi yangu mimi ni kukurahisishia kila kitu kwenye familia ya habari mtu wangu ndio maana nakupa uhuru wa kufanya kila unachoweza au ulichopanga huku ukijua pale unapopata mwanya wa kupumzika…
Umeyaona makubwa yaliyoandikwa na magazeti ya Tanzania leo Sept 8 2014? Udaku, Michezo na Hardnews hapa
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
#AyoTV Video ya gari likitolewa mtoni, liliua mke na mume baada ya kugongwa na Basi Musoma.
Ni ajali ambayo iliua watu 39 na kujeruhi wengine zaidi ya 70 huku baadhi yao wakibaki na ulemavu wa kudumu baada ya mabasi mawili ya J4 Express na Mwanza coach…
Picha 29 za Fiesta Musoma Jumapili sept. 7 baada ya kuahirishwa sept. 5
Asante kwa kila mtu wangu ambae alijitokeza kwenye hii show ya Serengeti Fiesta September 7 2014 Musoma, show ambayo ilifanywa maalum baada ya maamuzi kufikiwa ili upendo usambazwe kwa wote…
Dr. Hamisi Kigwangalla atangaza nia ya kugombea Urais 2015, zisome hapa points zake. @hkigwangalla
September 7 2014 Dr. Hamisi ambae ni mbunge wa Nzega kwa ruhusa ya CCM alikutana na Waandishi Dar es salaam akiwa ameongozana na mke wake pamoja na watoto wao na…
Pichaz za watu wa nguvu walivyoenjoy Nyamachoma festival Sept 6 Dsm.
Ni kijiwe kingine cha kipekee kabisa ambacho kinawakutanisha Watanzania kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania, kula nyama choma, kukutana na marafiki, good music pembeni, michezo ya watoto, live band na mengine.…