Good news! baada ya Tanzania sasa Azam TV imeingia Uganda.
Ni wajibu wetu kumsifia na kumpongeza binadamu yeyote ambae ana kiu na anayatafuta maendeleo kwa kasi, hiini good news nyingine kwa sababu Watanzania sasa hivi wanaanza ku-take over kwa wingi…
Breaking: Maamuzi ya Waziri Mwakyembe baada ya ajali iliyoua 39 Musoma
Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba hapa Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya…
Namba mpya za pikipiki na bajaji kuanza kutolewa Tanzania, ni tofauti na zile za magari.
Toka namba mpya za magari zianze kutumika nchini Tanzania tulizoea kuona namba hizo zikifanana na zile za pikipiki, yani hakukuwa na tofauti kati ya namba za pikipiki na za magari.…
Picha nyingine za ajali ya Mabasi Musoma iliyosababisha Fiesta kuahirishwa.
Taarifa mpya zilizotoka kwa mganga mkuu wa hospitali ya mkoa asubuhi ya September 6 2014 ni kwamba idadi ya vifo imeongezeka kutoka 34 jana na sasa ni 39 ambapo idadi…
Picha za Wasanii muda mfupi baada ya ajali kutokea Musoma.
September 5 2014 kumetokea ajali kubwa za mabasi mawili ya abiria hapa Musoma na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 30 likiwa ni tukio baya lililochukua maisha ya ndugu zetu…
Stori kubwa magazetini leo Sept 6 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Dakika 15 za kusikiliza uchambuzi wa Magazeti leo Sept 05.
Hii ni time nyingine ya kusikiliza kwa upana kile ambacho kimeandikwa kwenye kurasa mbalimbali za magazeti leo September 05,miongoni mwa vitu vilivyochambuliwa ni pamoja na hali ya chakula kwa sasa…
Magazetini leo Sept 05 2014 na Stori kubwa za Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku kuanzia ya Udaku, michezo na hardnews kabla ya saa mbili kamili asubuhi, ukishayasoma ya leo unaweza kuwa mwanafamilia wa…
Jipya kuhusu Young Killer kumbe alishatoa mahari kimya kimya baada ya kupewa kitisho hiki.
Rappa kutoka 88.1 Mwanza ambaye msimu wa Serengeti Fiesta 2012 ulifanikiwa kumuwakia na kuwa mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya Serengeti Super Nyota Young Killer leo amehusishwa tukio la kutoa…
Kuhusu jamaa aliyesemekana kufumaniwa na kupigwa picha,hiki ndicho alichokisema.
Miongoni mwa stori ambazo licha ya kuonekana sehemu mbalimbali za mitandao ya kijamii lakini zilivuta hisia za watu wengi baada ya kusemekana kuwa kuna mume wa mtu alifumaniwa na mke…