Sikiliza uchambuzi wa Magazeti leo Sept 04 2014.
Mara baada ya kuwa umepitia kurasa mbalimbali za Magazeti naomba utumie nafasi hii pia kusikiliza yakichambuliwa na kusomwa kupitia kipindi cha Power Breakfast,hapa yanachambuliwa na kusomwa na PJ. 87.8 Clouds…
Uliona walichofanya kwenye stage @FidQ na Stamina baada ya kumuita huyu mrembo?
Ni msimu wa dhababu unaoendelea kuusambaza upendo... Tour ya Serengeti Fiesta 2014 inaendelea kwenye mikoa mbalimbali ambapo Ijumaa hii ni hapa 98.6 Musoma na Jumapili ni Shinyanga 87.5 kote huku…
Stori kubwa magazetini leo Sept 4 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa…
Dakika 3 za Wema Sepetu akizungumzia yote yanayosemwa ikiwemo issue ya kuajiriwa na Kajala.
Kupitia mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala. Kupitia You…
#Exclusive: Diamond Platnumz azungumza kwa mara ya kwanza mambo 6 kuhusu fujo zilizotokea Ujerumani
Kuanzia siku tatu zilizopita stori kubwa kwenye kiwanda cha burudani Tanzania imehusu fujo zilizotokea Ujerumani kwenye show aliyokwenda kufanya Diamond Platnumz huko Stuttgart. Kilichotokea ni kwamba saa kumi alfajiri ndio…
Huu ni muendelezo wa Hekaheka iliyoanza jana Sept 02.
Hekaheka ya Jana ilikua ni kuhusu dada ambaye alikua ameenda kufanya kazi mjini akiwa hajui kama ana ujauzito baadae alifanikiwa kujifungua ingawa aliongea vitu vingi ikiwemo kutopewa haki za msingi…
Taarifa mpya kuhusu lile gari la Ikulu lililoibwa Kenya.
Jumatano ya wiki iliyopita ndio liliibwa hili gari aina ya BMW lisilopenya risasi ambalo huwa linakuwepo kwenye msafara wa Rais Kenyatta, na taarifa ya Ikulu ilisema liliibwa wakati dereva wake…
Dakika 16 za kusikiliza Magazeti yakichambuliwa Redioni Sept 03 2014
Baada ya kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti hii ni nafasi nyingine ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa hizo za Magazeti mbalimbali ya Tanzania hapa yanasomwa na PJ kutoka kwenye kipindi cha…
Stori kubwa magazetini leo Sept 3 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa…
Pichaz nyingine za harusi ya Angelina Jolie na Brad Pitt!
Ilikua ni ndoa ambayo walifunga kwa siri, yani bila kuitangaza kwenye vyombo vya habari ambapo ishu nzima ilifanyika nchini Ufaransa na kuhudhuriwa na watu 22 peke yake. Mmoja wa watu…