Baba yake Neymar akiri kupokea fedha ili kuipendelea Barcelona kushinda mbio za kumsaini mwanae
Baba wa mwanasoka Neymar ametetea suala la malipo ya kabla ya €10 million ambayo Barcelona ililiipa kampuni yake miaka mitatu iliyopita ili kupata upendeleo katika kugombea saini ya mchezaji huyo.…
Hali ya Michel Schumacher yaendelea vizuri, ingawa bado yupo hatarini
Mwezi mmoja baada ya kujeruhiwa katika ajali ya mchezo wa kuteleza kwenye barafu, gwiji wa mchezo wa magari yanayoenda kwa kasi Formula 1, mjerumani Michael Schumacher ameiambia BBC kwamba madaktari…
Raisi wa Barca ataka Messi amzidi Ronaldo na kuwa mwanasoka anayelipwa zaidi duniani
Mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi hauzwi na klabu hiyo inapanga kujadili mkataba mpya na raia huyo wa Argentina, amesema rais wa kilabu hiyo Josep Maria Bartomeu. Kuna uvumi kuwa Messi…
Sikiliza magazeti yakisomwa redioni hapa
Hizi ni dakika 16 za kusikiliza magazeti yakisomwa na kuchambliwa asubuhi hii kupitia Power Breakfast na 'PJ' sikiliza pia kupitia 88.5 Clouds Fm Dar es salaam. Bonyeza play kusikiliza.
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo January 29 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Matokeo ya mechi zilizochezwa January 28 yapo hapa.
Hizi ni mechi zote zilizochezwa January 28 ikiwa ni siku ya 23 kwenye Premier League millardayo.com inakusogezea matokeo haya karibu yako pengine hukuwahi kutazama sasa matokeo ni hayo.
Kuhusu mechi ya Man United na Cardiff matokeo yake haya hapa.
Kiungo mpya wa Man United Juan Mata ameonekana kuingia na baraka kwa kuingoza timu yake mpya ushindi wa mabao 2-0. Upande wa mechi ya leo Mata ametoa mchango mkubwa sana…
Baada ya kutoonekana dimbani kwa miezi kadhaa,sasa Chuji arejea tena uwanjani.
Leo Kiungo wa ulinzi kutoka timu ya Yanga Athuman Idd Athuman maarufu kama 'Chuji amerejeshwa kundini kuungana na wachezaji wenzake baada ya kuwa amesimamishwa na uongozi kutona na kitendo cha…
Msikilize Mbwiga leo January 28
Naomba nikuunganishe moja kwa moja kwa Mbwiga na uzitumie hizi dakika 2 kusikiliza alichokisema juu ya timu kutoka Songea kwa kipindi hicho,sikiliza pia kupitia 88.4 Clouds Fm Morogoro. Bonyeza play…
Umesikia Good News kuhusu tiba ya Saratani?pamoja na vyote vilivyotokea leo sikiliza hapa.
Unaweza kuwa hukusikia kilichozungumzwa na serikali juu ya ajira za kazi,muendelezo wa ile habari ya Madereva malori kule Nzega,Tabora,kushuka kwa umeme kwa wakazi wa Mtwara na kuhusu tiba ya Saratani…