Kuhusu kutekwa kwa Madereva Tabora,hiki ndicho alichokisema Rpc wa Tabora na Waziri wa Mambo ya Ndani.
Jana January 26 kupitia msamalia mwema aliyekua akisafiri toka Shinyanga kuelekea Morogoro aliwasiliana na millardayo.com na kutoa taarifa kuhusu kuziba njia kwa madereva wa Malori eneo la Ziba wilaya ya…
Magazeti ya leo January 27 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Nakualika kutazama kwa dakika 5 walichofanya Jay Z na Beyonce kwenye tuzo za Grammy 2014
January 26 2014 umekua usiku wa utoaji tuzo za Grammy 2014 ambapo Jay Z na Beyonce walikua na headlines zao za kumiliki stage toka kitambo.... Hiki hapa chini ndicho walichokifanya...
Chelsea vs Man City – Arsenal vs Liverpool kombe la FA raundi ya tano
Chelsea wamepangiwa kucheza na Manchester City katika mchezo unaotazimiwa na ushindani wa hali ya juu katika mfululizo wa michuano ya kombe la FA Cup. Chelsea ambao wamefuzu kwenye raundi ya…
kuhusu alichokizungumza Mtangazaji Ufoo saro kanisani.
Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV Ufoo Saro ambaye Oktoba 13 zilisambaa taarifa zinazomhusu yeye na familia yake,taarifa hizi zilikuwa za kupigwa risasi na kujeruhiwa na mzazi mwenzake Anthery…
Matokeo ya Simba na Rhino Rangers haya hapa.
Mechi kati Simba na Rhino Rangers imemalizika kwa ushindi wa goli 1 la Simba dhidi ya 0 kwa Rhino Rangers kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania…
Hiki ndicho kilichojiri kwenye sherehe za miaka 5 ya Club Kakala Kigamboni.
January 25 Wananchi wa Dar es salaam wakiongozwa na wale wa Kigamboni waliparty kwa pamoja ndani ya Club Kakala,sherehe hizi zilienda sawa pamoja na show ya iliyofanywa na Rich mavoko…
Wewe ni mpenzi wa Chelsea? Hii barua ya Juan Mata inakuhusu
Hi everyone, As you can imagine this is a very important day in my life, and with these lines I would like to express the memories and emotions that come…
Breaking:Madereva wa malori wafunga barabara Tabora.
Taarifa iliyotufikia asubuhi hii inasema malori zaidi ya 40 yamezuia njia kufuatia tukio la kutekwa kwa madereva wenzao watatu wa malori na majambazi kisha kukatwa mapanga,na inasemekana baada ya tukio…