Magazeti ya leo August 12 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Ushahidi mwingine wa Chris Brown na Rihanna wapo karibu kurudiana
Baada ya siku moja tu Chris Brown ku-post poster la tour ya Rihanna na Eminem kwenye instagram, Chris Brown ameonekana kuendelea kuongeza ukaribu zaidi na Rihanna. Japokuwa picha haipo clear…
Picha nyingine ya Kim Kardashin na Kanye West inayopata likes nyingi hivi sasa.
Wiki chache zilizopita selfie aliyopiga Kim Kardashian wakati Kanye West amelala ilipata umaarufu mkubwa na kupata likes nyingi sana kwenye ukurasa wa instagram wa Kim Kardashain. Hivi sasa Kim na…
Mkali wa movie Robin William akutwa amefariki ndani ya nyumba yake
Robin William ni star aliyeanza kupata mafanikio akifanya kazi kama stand up comedian na baadae kuanza kuonekana kwenye movie. Akiwa na miaka 63 Robin amefariki dunia kwa kifo ambacho hadi…
DJ Khaled, Chris Brown, Future, Jeremih, August Alsina wote ndani ya video moja…icheki hapa.
Siku moja tu baada ya kutoa audio ya Hold u down, Dj Khaleed ametoa video ya wimbo huo ambayo ndani yake yupo na wasanii wote aliowashirikisha kama Chris Brown,Future,Jeremih na…
Bunge kutumia zaidi ya Tsh milioni 142 kukodi vipaza sauti
Wakati kukiwa na malalamiko kwamba Bunge la maalumu la Katiba linagharimu fedha nyingi za walipakodi, uongozi wa taasisi hiyo umetumia Sh142.56 milioni kukodi vipaza sauti kutoka kituo cha mikutano cha…
Mashabiki wa Lil Wayne, hii ni video mpya kwa ajili yenu – Krazy
Dwayne Carter 'Lil Wayne' ametoa video yake mpya ya wimbo wa Krazy. Location ya video hii ni wodi ya watu wenye ugonjwa wa akili na director ni Collin Tilley. Enjoy…
Hizi ni picha mpya za Rihanna zinazo-trend kwenye mtandao hivi sasa
Rihanna ametokea kwenye cover la W Magazine akiwa na mavazi ya kiasili ya watu wanaoishi porini na nyingine akiwa na mavazi ya watu wanaoishi sehemu zenye baridi. Magazine hiyo imemtambulisha…
Umesikia alichokisema Mke wa Dansa wa Diamond kuhusu anti Ezekiel?kipo hapa.
Wiki iliyopita alisikika Anti Ezekiel akielezea uhusiano wake na Moses Iyobo ambaye ni dansa wa Diamond Platnumz,sasa leo amesikika mpenzi wake ambaye ndiye anaishi nae ambaye kaongea na Soudy Brown…
Sikiliza Hekaheka hii ambayo wananchi waliamua kupaza sauti zao.
Matukio ya watoto kunyanyaswa na wazazi wao yamekua yakitokea mara kwa mara na pengine huwa mengine hayatangazwi kulingana na wananchi wa eneo hilo,Sasa hawa ni wananchi walioamua kutoa sauti zao…