Kama hukusikiliza Magazeti yakisomwa,hapa kuna dakika 17 za kusikiliza yaliyoandikwa August 05.
Miongoni mwa stori kubwa katika uchambuzi huu wa leo ni pamoja na lile jibu alilolijibu Rais Jakaya Kikwete kuhusu madai ya Ridhiwan kukamatwa China na dawa za kulevya,hiyo pamoja na…
Rick Ross ‘Rozay’ amekuja na hii mpya – What A Shame
Hivi sasa watu wanapunguza kumtania Rick Ross kwenye internet kuhusu unene kutokana na kufanikiwa kupunguza mwili wake kidogo. Story mpya kutoka kwa Rozay ni video mpya ya wimbo wa 'What…
Nicki Minaj ametuonjesha kipande cha video ya Anaconda, icheki hapa.
Baada ya ku-make headline na cover kali la wimbo wa Anaconda na kuteka attention ya watu wakisubili kununua. Wimbo huo ukavuja kwenye internet na watu kuupata bure na kabla ya…
Baada ya taarifa za Chris Brown kuachwa na Karrueche, haya ni majibu ya kambi ya Chris Brown.
Chris Brown alihusishwa na habari ya kuachwa na girlfriend wake Karrueche kutokana sababu za Chris kuwa busy na party sana zaidi ya kutumia muda wake kuimarisha mapenzi na kazi za…
Magazeti ya leo August 05 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Magazine yamuomba msamaha 2 Face Idibia baada ya kesi ya Naira milioni 100.
Icon Weekly magazine walitoa habari kwamba 2 Face Idibia ametoka nje ya ndoa yake na kuanzisha uhusiano na mfanyakazi wa benki. Magazine hiyo haikuishia hapo iliendelea kusema kwamba 2 face…
Picha mpya ya mtoto wa Kanye West na Kim Kardasian yavutia watu mtandaoni.
Kim Kardashian alimpereka mtoto North West kwenda kumuangalia baba ake akiwa kazini kwenye studio ya kutengenezea music. Baada ya kufika aliwapiga picha North na Kanye,picha hiyo inaangaliwa sana na watu…
picha za show ya Hemed PHD na gelly wa Ryhmes Iringa.
Pamoja na wakali hawa wawili kutokea sana kwenye movie za kibongo ambazo ni sehemu ya mapato yao makubwa, bado wanapenda kuendelea kuwepo kwenye muziki wa bongofleva. Ripota wa nguvu Denis…
Sina muda kujadili upuuzi huu kuhusu Ridhiwani – Rais Jakaya Kikwete
Taarifa kutoka ofisi ya Rais kuhusu maneno yanayosemekana kwamba Rais Jakaya Kikwete kushiriki kusaidia kumwokoa mwanae ambaye ni mbunge wa jimbo la Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete baada ya kukwamatwa na…
Umeipata hii ya Weusi kusemekana wamecopy wimbo?
Kupitia You heard ya August 04,Weusi wamesemekana kucopy wimbo na kuurudia kuanzia namna wanavyorap mpaka beat iliyotumika kwenye wimbo huo,Joh Makini kaongea na kapatikana pia producer wa wimbo huo NahReel…