X Men ‘Days of future past’ kuanza kuonyeshwa May 23, cheki na ratiba ya movie za wiki hii
Wapenzi wa movie za X Men wiki hii ni yenu kwasababu movie mpya imetoka na hii imepewa jina la Days of future past. Cheki trailer yake na pia kama una-plan…
Picha zingine 8 kutoka Mtwara.
Nambiwa kuwa kuna baadhi ya maduka kwa sasa wamefungua na wanaendelea na kutoa huduma zao kama kawaida na hii ni baada ya ujumbe mfupi wa maandishi 'Sms' iliyokuwa ikisambazwa na…
Ukimya wa Mtwara May 22 2014 kuhusu lile sekeseke la gesi.
Siku kama ya leo ni siku ambayo ipo kwenye kumbukumbu ya kilichotokea Mtwara kwenye lile sekeseka la kudai gesi ambapo Wananchi wa Mtwara wameamua kuifanya kama siku ya kukumbuka wale…
Wewe ni shabiki wa rapper Fabolous? amepata ajali saa kadhaa zilizopita.
Fabolous ambae ni Rapper wa longtime kwenye chati za muziki duniani ambae amewahi kuja kufanya show Tanzania, amepata ajali huko Queens New York Marekani. Baada ya ajali hiyo Fab amemshukuru…
Ebwana umesikia hii ya Iran? Polisi wamekamata waliojirekodi video ya ile happy ya Pharrel
Hit single ya 'happy' ya Pharrell Williams ni single ambayo ukiangalia kwenye mtandao watu wengi walitengeneza video zao na kuziweka humo lakini kwa kutumia wimbo huohuo ambao kiukweli wanasema ni…
Wakati matokeo rasmi yakisubiriwa kutangazwa,huyu ndiye Waziri aliyejiua Malawi.
Ingawa matokeo rasmi bado hayajatangazwa nimepata taarifa kuwa Waziri wa serikali za mitaa nchini Malawi Godfrey Kamanya,amejiua baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu siku ya Jumanne. Waziri huyo alijipiga risasi…
Nyingine ya mwaka!! kuhusu waliokua wakifanya mapenzi chumba jirani na cha Mahakama kesi ikiendelea
Katika vituko vikubwa au vioja Mahakamani nilivyowahi kuvisikia kutoka Tanzania, vyote nilivipata kutoka 88.1 Mwanza pale ambapo Mahabusu mmoja alitumia njia ya kuvua nguo na kujipaka choo ili akitoroka mtu…
Taarifa ya Manchester United kukamilisha usajili wa Toni Kroos
Klabu ya Manchester United jana usiku ilikuwa katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo Toni Kroos kutoka klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani. Kwa mujibu wa vyombo vya…
Hapa nimekurekodia Magazeti yakisomwa Redioni leo Mei 22.
Kama ulikua bize au hukua na muda mzuri wa kusikiliza magazeti yakisomwa redioni leo Mei 22 hapa nimekurekodia yoote yakisomwa na kuchambuliwa kwenye kipindi cha Power Breakfast na PJ ni…
Magazetini leo May 22 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…