Msikilize Mbwiga wa mei 21.
Taarifa za kimichezo kutoka kwenye sports Extra huwa zinakamilishwa na mtekenyo wa Mbwiga wa Mbiguke ambao kwa kawaida huwa ni stori za soka kipindi cha nyuma upande wa mpira wa…
Picha 18 kwenye kumbukumbu ya Mv Bukoba akiwemo @flavianamatata.
Tanzania leo tumewakumbuka ndugu zetu ambao walipoteza maisha kwenye ajali ya kuzama kwa meli ya Mv Bukoba ambayo ilizama siku kama ya leo mwaka 1996 ambapo miongoni mwa watu waliopoteza…
Mapya kutoka kwa Hamisa Mobeto na Diamond,sikiliza kupitia You heard ya Mei 21.
Ilishawahi kutoka taarifa ambayo haikuwa rasmi kuhusu uhusiano wa kimapenzi kati ya Diamond Platnumz na Hamisa mobeto ambayo Soudy Brown leo ameonge na Hamisa Mobeto baada ya kusemekana kuna ofisi…
Umeyapata ya Fid Q na Dayna?sikiliza kupitia You heard ya mei 20.
Kutokana na sababu ambazo zilikua nje ya uwezo hukusikiliza You heard ya jana Mei 20 sikuiweka hapa ,sasa kwa kuwa nipo kwa ajili yako na sipendi upitwe na kitu,You heard…
Staa wa The Shield amuua mke wake
Aliyekuwa staa ya series maarufu ya The Shield, Michael Jace ametiwa mbaroni kwa kosa la kumuua mke wake. Staa huyo alijisalimisha polisi baada ya kumuua kwa kumpiga risasi aliyekua mke…
Rafiki wa Justin Beiber amponza
Aliyekuwa mgeni wa muda wa staa Justin Beiber, Lil Za, amehukumiwa miyaka mitatu ya kufanya shughuli za kijamii ikiwemo kufanya usafi, pamoja na faini ya dolla 1,600 kwa fujo alizozifanya…
Shilingi elfu 10 imesababisha huyu mtoto akatwe hivi visu. (Picha + audio)
Hii inaingia kwenye maktaba ya matukio ya kusikitisha kwenye idara ya Hekaheka na leo ni kuhusu dada aliyeamua kumkata mikono kwa kisu mtoto wa ndugu yake kisa kikiwa ni shilingi…
Hatari nyingine mpya ya bakteria kwenye ndege za kusafiria
Ripoti imetolewa ikionyesha sehemu gani ndani ya ndege inalea vijidudu vya bakteria zaidi ikiwemo ile sehemu ya kuwekea mkono katikati ya viti, kwenye vidirisha pamoja na sehemu ya nyuma ya…
Ile video ya Mb Dogg ‘bado umenuna’ ndio imetoka, itazame hapa
Ukamilifu wa video hii ambayo picha zake niliziweka hapa wiki chache zilizopita ni huu hapa japo video hii ilikamilika wiki kadhaa nyuma lakini walikua wakisubiri muda sahihi wa kuitoa, ukisha…
Loliondo kwa headline tena,sasa hivi sio kikombe cha babu ni Dhahabu.
Nimeambiwa kuwa kwa sasa kuna watu wa nguvu kibao wanaenda Samunge,Loliondo na kinachowapeleka sio ishu ya Kikombe cha babu tena sasa hivi ni madini ya dhahabu ambayo inasemekana yamegundulika eneo…