Ni Wanachuo wa UDOM sasa, walichosema kuhusu kulala/kujiuza kwa baadhi ya Wabunge
Ripota wa nguvu Simon Simalenga akiwa 104.4 Dodoma amekutana na Wanachuo kwenye chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo kwenye bunge la bajeti linaloendelea May 19 2014 Wabunge walipitisha bajeti ya…
Ciara na Future wamepata mtoto! mama kashea nusu picha yake
Ni mastaa ambao walipoanza mapenzi yao wengi waliona kama wanafanya hivyo ili kutengeneza headlines tu zitakazofanya wauze muziki wao lakini May 19 2014 mastaa hawa wamepata mtoto wao wa kwanza…
Kazi yangu ni kuhakikisha hupitwi, yasikilize Magazeti ya leo May 21 2014 yakisomwa Redioni
Naomba kuzileta kwako hizi dakika 19 za kusikiliza kilichoandikwa kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti ya leo May 21 2014 ikiwa ni nafasi nyingine kutoka millardayo.com ya kusikiliza usomwaji na uchambuzi…
Kumbukumbu ya Miaka 18 ya ajali ya Mv Bukoba.
Leo ni kumbukumbu ya Miaka 18 tangu itokee ajali iliyoua ndugu zetu zaidi ya 700 ni ajali ambayo iligharimu roho za watu wengi ni ajali kubwa ya majini ambayo ilitokea…
Mtoto wa 50 Cent alieamua kumchana baba kwa kutotokea kwenye graduation yake
Japo ni mara nyingi watoto wa kiume wameonekana kuwa na mapenzi zaidi kwa mama zao kuliko baba, haimaanishi kwamba hawamuhitaji baba kabisa kwenye maisha yao. Mtoto wa 50 Cent aitwae…
Linex aligoma kuhama nchi kisa Bongofleva, sasa Mfinland anataka kurudi !
Linex ambae ni staa wa single mpya ya 'Onga onga' aliwahi kutangaza kupitia AMPLIFAYA ya CloudsFM pamoja na millardayo.com kwamba ameachana na mpenzi wake raia wa Finland ambae walikutana kwa…
Magazeti ya leo May 21 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…
Kilichomkasirisha Yaya Toure Manchester City
Wakala wake anasema kama club hiyo isipompa heshima Yaya Toure anaweza kuondoka wakati wowote kwa sababu hakuna mchezaji yeyote au mtu yeyote anaependa kufanya kazi kwenye ofisi ambayo haimuheshimu ndio…
Feza Kessy on AyoTV! kaongea kwa dakika 8… South Africa, mpenzi wake, mtoto na mengine ya anakoishi
Amekua ni sehemu ya Watanzania wanaomiliki headlines nje ya Tanzania lakini ndani ya Afrika baada ya kuiwakilisha nchi kwenye shindano la BIG BROTHER 2013 na kuyaanza mapenzi na staa mwenzake…
Bongo5 media group imetagaza majina yatakayowania tuzo za watu Tanzania 2014
Tarehe 29 April kama unakumbuka Bongo5 Media Group ilizindua rasmi tuzo za watu Tanzania kwa mwaka 2014 uzinduzi ambao ulienda sambamba na kuanza rasmi kwa mchakato wa kupendekeza majina yatakayoingia…