Unaambiwa huyu ndiye nabii wa Tanzania anayeponya ugonjwa wa Dengue kwa Juice.
Baada ya time ya Babu wa Loliondo kuponya kwa kutumia kikombe,sasa ni time ya kiongozi wa dini ambaye anajiita nabii na kutangaza kuwa anatibu ugonjwa wa Dengue kwa kutumia juisi.…
Tumia dakika hizi 17 kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni Mei 19.
Kama umefanikiwa kupitia vichwa mbalimbali vya habari,Hapa nimekurekodia magazeti yakisomwa na kuchambuliwa kwenye Power Breakfast leo Mei 19 yakisomwa na PJ kwenye Powr Breakfast muda wowote ukipata muda unaweza kusikiliza…
Rais wa nchi alietokwa machozi akilihutubia taifa kwenye TV.
Huwa matukio kama haya au hisia kama hizi sio rahisi kuonekana waziwazi kwa kiongozi wa nchi pale anapohutubia au kuzungumza na Taifa kwa njia ya TV. Imetokea kwa rais wa…
Za Diamond na Ommy Dimpoz London. (Pichaz na video)
Diamond alikwenda Uingereza kwa ajili ya kufanya video ya wimbo wake na Iyanya ambayo imegharimu zaidi ya dola za kimarekani elfu 20 (zaidi ya milioni 30 za Tanzania) kutokana na…
Sekunde 20 za Mzee Majuto kwenye movie mpya ya ‘Mama Ntilie’
Kutana na Mzee Majuto ambae ni mchekeshaji wa longtime Tanzania, hizi ni sekunde 20 za sehemu aliyoigiza kwenye movie ya 'Mama Ntilie' ya Irene Paul ambayo sasa hivi naambiwa iko…
Unayataka makubwa ya leo May 19 2014 Magazetini Tanzania? yako hapa
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…
Eti hii inaweza kuwa mbinu ya kumpiga mtu mrefu kuliko wewe akikuzingua?
Pamoja na kwamba tunakutana na vitu vingi kila mara, kuna vingine vipya ambavyo ndio kwanza vinatufikia kila siku....... hawa jamaa wachekeshaji eti wanasema hii ndio mbinu ya kumuadhibu mtu mrefu…
Mtanzania Filbert Bayi amehojiwa na CNN, pata sehemu ya alichokisema na picha ya alikoanzishia
Katika ufuatiliaji wangu wa mahojiano yanayofanywa na CNN kwa Waafrika mbalimbali katika African Voices, hii ya Bayi nayo imenifurahisha kwa jinsi alivyotumia muda mfupi aliopewa kujieleza yeye mwenyewe lakini pia…
Mafuriko sio Dar tu, yamewakuta na ndugu zetu wa Serbia, Bosnia na Austria.
Bado Dar es salaam na mikoa jirani haijasahau kilichotokea wiki chache zilizopita baada ya mvua iliyopitiliza kunyesha mfululizo kwa siku kadhaa na kusababisha vifo, majeruhi na wengine kukosa makazi kwa…
Umekutana na hizi popote? comment yako inaweza kukupa zawadi mtu wangu
Kuna uwezekano umeyaona haya mabango kwenye mtaa wako au kwenye mji wako.... comment yako tu inaweza kukufanya uitiwe zawadi... Cha kufanya ni kukisia yanaweza kuwa yanazungumzia nini? na ni wasanii…