#AyoTV Sekunde 50 za video mpya ya Shaa ikiwa inatengenezwa Manzese. @Shaa_Tz
Akiwa ni miongoni mwa wasanii wenye majina yao Tanzania na hata kwenye nchi jirani, mwimbaji Shaa atarudi tena kwenye spika zako na kwenye TV yako hivi karibuni akiwa na sound…
Baada ya kufungiwa Kenya, video mpya ya @SautiSol imepewa nafasi hapa.
Zaidi ya siku kumi zilizopita stori za kufungiwa kwa video mpya ya Sauti Sol kuonyeshwa kwenye vituo vya TV nyumbani kwao Kenya zilitoka kutokana na kudaiwa kuvunja maadili kwa kile…
Hii ni kutoka Mwanza! sports extra day 2014 ilivyochukua headlines
Mabigwa wa Sports Xtra Day 2014 mkoa wa Mwanza wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa fainali dhidi ya NMB Mwanza, ambapo SAUT walitawazwa kuwa mabingwa mara baada…
Dakika 21 za alichokifanya Diamond kwenye MTV Road to mama Club Bilicanas Mei 16.
Hii ni party ya MTV road to Mama Awards 2014 iliyofanyika Club Bilicanas usiku wa kuamkia May 17 ambapo ndani ya party hii kulikua na watu tofauti kuanzia wanasiasa, wasanii…
Nafasi ya kutazama jinsi video mpya ya Shaa ilivyokua ikitengenezwa. @Shaa_TZ
Huu ni wimbo mwingine mpya kutoka kwa Shaa 'subira' ambao uko kwenye mahadhi kama ya mduara na haujaachiwa rasmi bado na video yake imeanza kufanywa ikiongozwa na Adam Juma kutoka…
Full Time ya Taifa stars vs Zimbabwe May 18 2014
Mechi kati ya Tanzania na Zimbabwe imemalizika kwa matokeo ya ushindi wa goli la Taifa Stars huku Zimbabwe ikitoka bila kupata chochote ambapo goli la stars lilifungwa na John Bocco…
Cristiano Ronaldo awafunika Messi na Diego Costa – atwaa tuzo ya PICHICHI
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo amekuwa mfungaji bora na kutwaa tuzo ya PICHICHI ambayo hutolewa kwa mwanasoka anayekuwa kafunga magoli kwenye msimu mmoja wa La liga. Ronaldo…
Tazama magoli ya Arjen Robben na Muller yalivyoipa Bayern ubingwa nne ndani ya msimu huu
Magoli ya winga Arjen Robben na kiungo Thomas Muller yaliwafanya Bayern Munich kutwaa ubingwa wa kombe la FA la Ujerumani maarufu kama DFB Pokal. Kombe hilo ni la nne ndani…
Baada ya siku 3,283 hatimaye Arsenal washerehekea ubingwa – angalia video hapa
Klabu ya Arsenal jana ilimaliza ukame wa siku 3,283 bila kutwaa ubingwa wa aina yoyote baada ya kuifunga Hull City 3-2 kwenye mchezo wa fainali ya kombe la FA Cup. Arsenal…
Video: Hivi ndivyo Atletico Madrid walivyochukua ubingwa wa La Liga mbele ya Barca
Atletico Madrid jana usiku walitawazwa kuwa mabingwa wapya wa La Liga baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya FC Barcelona kwenye mchezo wa mwisho wa ligi kuu ya Spain…