Matokeo kamili ya uchaguzi Jimbo la Chalinze haya hapa.
April 06 ndiyo ilikua siku pekee kwa Wananchi wa Chalinze kupiga kura ya kumchagua Mbunge wao kwenye uchaguzi mdogo wa nJimbo la Chalinze,matokeo yake yametangazwa usiku wa kuamkia April 07…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni April 07.
Zitumie dakika hizi 16 kusikiliza kilichiandikwa kwenye kurasa mbalimbali za Magazeti ya leo April 07 kupitia Power Breakfast na leo Magazeti haya yanasomwa na kuchambuliwa na Mbwiga wa Mbwiguke na…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo April 07 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya awali jimbo la Chalinze.
Haya ni Matokeo ya awali kwa baadhi ya vituo kutoka jimbo la Chalinze ambayo matokeo yao yanaonyesha kuwa mgombea ubunge jimbo hilo kupitia wa CCM Ridhiwani Kikwete anaongoza kwa sasa.…
Hatimae timu ya watoto wa mtaani Mwanza yashinda kuingia fainali Brazil.
Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imefanikiwa kuingia fainali za mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuifunga Marekani goli 6-1 katika mchezo…
Maneno ya Albert Msando juu ya Bunge la Katiba.
Wakili wa Kujitegemea ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mabogini wilaya ya Moshi vijijini Albert Msando ametoa yamoyoni kwa kile kinachoendelea kupitia Bunge la Katiba kwenye Exclusive interview na…
Magazetini leo Jumapili 06 April 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya FC Barcelona vs Real Betis kwenye La Liga haya hapa
FC Barcelona leo imeendeleza wimbi la ushindi katika La Liga baada ya kuifunga Real Betis mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa katika la Camp Nou, Barcelona Spain. Magoli ya Barcelona yalifungwa…
Matokeo ya Man UTD vs Newcastle – Chelsea vs Stoke City haya hapa
Vilabu vya Manchster United na Chelsea leo vimepata ushindi mnono katika mfululizo wa ligi kuu ya Uingereza. Manchester United ikicheza ugenini katika dimba la St. James Park dhidi ya wenyeji…
Yanga wadai mchezaji huyu sio raia wa Tanzania, waitaka TFF iikate pointi timu yake
Ikiwa imepita takribani wiki moja ipite tangu klabu ya Yanga ipoteze mchezo wake dhidi ya Mgambo JKT ya Tanga, leo hii klabu hiyo imewasilisha pingamizi zito dhidi ya mchezaji wa…