Hiki ndicho kitakachofanyika kwenye Club za New Maisha Morogoro,Mbeya,Dar na Mtwara Weekend hii.
New Maisha Club ndiyo Club pekee Tanzania iliyofanikiwa kuwa na matawi mengi mikoani ukitoa Dar es salaam ambayo ndiko ilikoanza,kwa sasa New Maisha Club ipo Morogoro,Mtwara,Dodoma na Mbeya ambapo kuna…
Kuhusu Mwalimu aliyemchapa Mwanafunzi Kenya hadi kufariki dunia.
Hii ni taarifa kutoka Kenya ambapo inasemekana Wazazi katika kaunti ya Kirinyaga mkoa wa Kati nchini Kenya wameandamana kwa hasira baada ya mwalimu mmoja kumchapa mtoto mmoja wa shule ya…
Video ya Wema Sepetu alipovamia ofisi za Global Publishers.
Jana April 02 kupitia You Heard tulimsikia Wema akikanusha habari za kwenda kuvamiwa ofisi za Global Publishers kwa kile kilichoelezwa kuwaandika vibaya yeye na mpenzi wake Diamond Platnumz. Clouds Fm…
Ule muendelezo wa ile Hekaheka ya Mganga Feki huu hapa.
Hii Hekaheka ilianza jana ambayo ilimhusisha jamaa ambaye alijifanya Mganga wa Kienyeji na hapa muendelezo wake baada ya mwizi kugundulika si yule aliyemtaja mganga,kilichotokea kipo hapa. 92.9 Clouds inasikika ukiwa…
Cristiano Ronaldo aifikia rekodi hii ya Lionel Messi katika Champions League
Cristiano Ronaldo jana alicheza mechi yake ya 100 ya ligi ya mabingwa wa ulaya wakati Real Madrid walipoifunga Borussia Dortmund 3-0. Katika mechi hiyo Ronaldo alifunga goli la 3 la…
Video ya magoli yote ya mechi kati ya PSG na Chelsea
PSG jana waliifunga Chelsea ya Uingereza kwa magoli 3-1 katika mchezo wa kwanza wa robo fainali ya ligi ya mabingwa wa ulaya. Unaweza kutazama video ya magoli hapa............ PSG vs…
Tazama magoli ya Ronaldo, Bale na Isco yalivyowazamisha Dortmund
Real Madrid jana waliweka mguu mmoja mbele kuelekea hatua ya nusu fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa wa ulaya baada ya kuifunga Borussia Dortmund 3-0 katika uwanja wa Santiago…
Umeisoma hii? Okwi agoma kuichezea Yanga kisa hiki hapa
HALI ya hewa baina ya mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi na uongozi wa timu hiyo, si nzuri na Mganda huyo ameamua kugomea mazoezi akishinikiza kumaliziwa chake. Picha lilianza hivi; Okwi…
Hii ni kolabo nyingine toka kwa Diamond Platnumz na M-Naija huyu.
Diamond Platnumz safari yake ya Nigeria inawezekana ikawa na mafanikio ya kufanya kolabo nyingi za kimataifa na Wasaanii Wa-Nigeria kwani jana usiku wa kuamkia leo alikua akirekodi studio na Dr.Sid.…
Dakika 14 za kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo April 03.
Hizi ni dakika 14 za kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa mbalimbali za Magazeti ya leo April 03 hapa nimekurekodia na yanasomwa na kuchambuliwa kupitia Power Breakfast ndani ya kisehemu cha Kuperuzi…