Msikilize Mbwiga wa April 02.
Huu ni Mtekenyo wa Mbwiga wa Mbwiguke leo April 02 ni stori za kimichezo zinazoulenga mchezo wa mpira wa Miguu,millardayo.com tunakupa nafasi ya kusikiliza mtekenyo huu. 87.5 Clouds Fm inasikika…
Unaambiwa hii ndiyo filamu iliyowahi kumsumbua Rose Ndauka katika ku-Act.
Kwenye kazi yoyote hata kama ukiwa umeizoea kuna baadhi ya vitu ukikutana navyo inaweza kukuwi ugumu kiasi kufanya,Rose Ndauka ametoa Exclusive interview na millardayo.com kuelezea movie ambayo tangu aanze kazi…
Kuhusu Wema Sepetu kuvamia ofisi za Gazeti,kisa kipo hapa.
Taarifa anazo amplify Soud Brown ni kuhusu Wema Sepetu kwenda kwenye ofisi za Gazeti akiwa na camera huku anarekodi tukio hilo. 104.4 Clouds Fm inasikika ukiwa Dodoma. Bonyeza play kusikiliza.
Umesikia Hekaheka ya leo inyomhusu Mganga feki,ipo hapa.
Hii ni nyingine tena ambayo imenaswa kupitia idara ya Hekaheka kuhusu Mganga feki pamoja na dada aliyejifanya ana majini kupandisha kiuongo baada ya tukio la kuibiwa kwa pesa. 88.0 Clouds…
Cheki video ya Wanatetemeka ya Queen Darleen ilivyokuwa inatengenezwa,Diamond nae ndani.
Hii itakua ni video ya kwanza kwa ndugu wa damu Diamond Platnumz na Queen Darleen kuonekana kwenye video moja ambayo ni video ya Queen Darleen ya wimbo wake wa Wanatetemeka,uzinduzi…
Video ya magoli ya FC Barcelona vs Atletico Madrid – Neymar alivyoiokoa Barca.
Mshambuliaji wa kibrazil Neymar Da Silva jana usiku aliikoa FC Barcelona kutoka kupata kipigo katika mchezo wa kwanza wa robo fainali ya kombe la mabingwa wa ulaya dhidi ya Atletico…
Nimekuletea video ya magoli ya mchezo wa Man United vs Bayern Munich
Manchester United jana walitoka sare na mabingwa watetezi wa kombe la ulaya FC Bayern Munich katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Old Trafford. Unaweza kutazama video ya magoli ya mchezo…
Jinsi Diamond alivyoanza kurekodi kolabo Nigeria.
Maneno yanaumba !!! kwa jitihada zake Diamond Platnumz kama alivyosema kwamba ni lazima Wanigeria watamtambua time hii na kweli ndio inatokea hivyo. Baada ya kuthibitisha kwamba atafanya kolabo kadhaa Lagos…
Dakika 14 za kusikiliza Magazeti ya leo yakisomwa Redioni.
Kawaida ya millardayo.com ni kuzidi kukuweka karibu na kitu ambacho hukukisikia au kukifahamu na leongo zaidi ni kuhakikisha hupitwi na kitu iwe usiku au mchana,hapa nimekurekodia Magazeti haya ya leo…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo Aril 02 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.