Jinsi Diamond alivyoanza kurekodi kolabo Nigeria.
Maneno yanaumba !!! kwa jitihada zake Diamond Platnumz kama alivyosema kwamba ni lazima Wanigeria watamtambua time hii na kweli ndio inatokea hivyo. Baada ya kuthibitisha kwamba atafanya kolabo kadhaa Lagos…
Dakika 14 za kusikiliza Magazeti ya leo yakisomwa Redioni.
Kawaida ya millardayo.com ni kuzidi kukuweka karibu na kitu ambacho hukukisikia au kukifahamu na leongo zaidi ni kuhakikisha hupitwi na kitu iwe usiku au mchana,hapa nimekurekodia Magazeti haya ya leo…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo Aril 02 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
pichaz za viwanja 10 vya ndege duniani vilivyopewa tuzo ya Ubora.
Wanasema hivi ni viwanja bora vya ndege na vinavyovutia zaidi kwa mujibu wa tuzo za Viwanja vya ndege vya dunia zilizotolewa Barcelona Hispania zikishindaniwa na viwanja 410 kote duniani. Tuzo…
Mambo matatu kuhusu Mtoto aliebaki na risasi kichwani baada ya shambulio Mombasa
Ni mtoto Satrin Osinya ambae mama yake mzazi aliuwawa kwenye shambulio lililofanywa kanisani huko Mombasa Kenya ambapo watu waliokua na silaha walishambulia kwenye ibada ikabidi mama amkinge mtoto, ikisemekana risasi…
Maongezi ya Chris Brown na girlfriend wake kutoka jela.
Ukubwa wa jina lake pamoja na matukio yanayomuandama ndio unamfanya afatiliwe kwa karibu na kutengeneza stori kwa kila anachokifanya hata kama ni kitu cha kawaida. Stori ya sasa ya Chris…
Picha 6 za utengenezwaji video mpya ya Ay ‘Asante’ @AyTanzania
Kutana na Ay ambae ni staa wa longtime bongoflevani alieianza safari rasmi ya bongofleva mwaka 1998 akitokea Morogoro na kuingia Dar es salaam kwa ajili ya kutafuta maisha aliyoyataka. Hizi…
Huyu ndio mwanaume aliacha ‘uume’ wake uliwe na Fisi kwa makusudi.
Kuna stori nyingine kwenye hii dunia huwa zinaonekana kama za kufikirika tu na pengine unaweza kushawishika kuona sio za kweli ila ukweli ni kwamba imetokea kabisa kwenye maisha hayahaya. Baada…
Taarifa za sheikh maarufu kuuwawa Mombasa usiku wa April 1 2014
Ripota wa TZA kwenye mji wa Mombasa nchini Kenya Julius Kipkoich ameripoti usiku huu kwamba hali ya taharuki ipo kwenye mji huo baada kuuwawa Sheikh Abdikadir sharrif maarufu kama Makaburi.…
Eminem alitaka kuwadiss Kanye West na Lil Wyne?
Eminem ambae ni msanii wa hiphop wa miaka mingi amezungumzia kitu kipya kuhusiana na wimbo wake wa 'Talking 2 Myself' kutoka kwenye album yake ya 'Recovery' iliyotoka June 2010 Anasema…