Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni March 27.
Baada ya kuwa umepitia kurasa mbalimbali za Magazeti na kusoma hii ni nafasi nyingine nayokupatia mtu wangu ni ya kusikiliza pia kilichoandikwa ikiwa ni pamoja na kuchambuliwa kabisa kutoka redioni,hapa…
Magazetini leo March 27 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Maneno ya Snura baada ya wimbo wake kufutwa kushiriki tuzo za KILI.
Washiriki wa Kili Music Awards wametangazwa March 25 2014 ambapo ndani ya washiriki hao kuna watatu nyimbo zao zimefutwa na BASATA sababu ya kukosa maadili ya kitanzania ukiwemo wimbo wa…
Msikilize Mbwiga wa March 26.
Sikiliza mtekenyo huu wa Mbwiga wa Mbwiguke leo March 26 ambao kama kawaida yake anaongelea taarifa za kimichezo upande wa mpira wa miguu. 88.5 Clouds Fm inasikika ukiwa D'salaam Bonyeza…
Ripoti na matokeo ya mechi za Yanga vs Prisons – Azam FC vs Mgambo
Vilabu vya Azam FC na Yanga SC leo vimeendelea kukabana koo katika mbio za ubingwa wa ligi kuu Vodacom baada ya vyote viwili kupata ushindi kwenye michezo yao waliyokuwa wakicheza…
Kosa lililofanya mlinzi wa Rais Obama kuachishwa kazi saa kadhaa zilizopita.
Jarida la Washington Post nchini Marekani limeripoti kwamba askari watatu ambao ni walinzi wa president wameachishwa kazi kwa muda na kurudishwa nyumbani ili uchunguzi ufanyike. Askari mmoja kati ya hao…
Hiki ni kitu kipya kilichojificha kuhusu video ya Msambinungwa ya Tunda Man.
Ikiwa ni wiki kadhaa tangu itoke video ya Msambinungwa ya Tunda Man ambayo ilisemekana imefanyika nje ya nchi,miongoni mwa watu walioikamilisha hiyo video ambaye pia ni mmiliki wa studio iliyopo…
Hii stori inagusa, jinsi msanii Young D alivyofuta machozi ya familia kwenye hii nyumba
Bongofleva ilipofikia sasa hivi ni kwenye kubadilisha maisha ya Watanzania wengi wenye juhudi na ambao angalau wanalipwa na muziki wao ambapo ni mara nyingi tumekua tukizipata stori hapa millardayo.com na…
Wale wa Yanga hiki ndio kikosi cha Yanga kitachocheza dhidi ya Prisons
Zikiwa zimebaki takribani dakika 40 kabla ya mchezo dhidi ya Tanzania Prisons kuanza, Yanga wamekiweka hadharani kikosi cha timu hiyo kinachocheza leo....... Juma Kaseja - 29 Juma Abdul - 12…
Pale Mwanaume muoga na asiejua kupika anapoachwa nyumbani
Wakati mwingine inaweza kuonekana kama kichekesho lakini ni kitu kinachowakuta wengi sana... unaambiwa hii inatokea pale ambapo Mwanaume muoga na asiejua kupika anaachwa peke yake nyumbani alafu njaa inamshika so…