Namna Young Dee feki alivyotapeli Digital Camera Mbeya.
Hili ni tukio ambalo linakua kwenye records za wasanii mbalimbali wa Tanzania waliowahi kuhusishwa uhalifu kwa majina yao ambao baadhi yao hutambulika mapema kuwa sio wahusika,Leo Soud Brown ana-amplify taarifa…
Hii ndio nyumba ya Mheshimiwa Temba kapewa na Meneja wake.
Muziki wa Tanzania unazidi kuingia kwenye headline hasa inapotokea kwenye vitu vikubwa kufanyika,mwishoni mwa mwaka jana siku ya Birthday ya Babu Tale,Madee alimkabidhi gari ya kutembelea Meneja wake huyo Babu…
Umesikia kuhusu alichofanyiwa Dereva Bodaboda kutoka Morogoro?sikiliza kupitia Hekaheka ya leo.
Matukio ya uporwaji wa pikipiki kwa madereva wa Bodaboda umekua ukitangazwa kila siku kwenye maeneo tofauti ya jijini Dar huku wezi hao wakitumia mbinu nyingi na za kisasa,asa hii hapa…
Kikwete aipa Simba kiasi hiki cha pesa kwa ajili ya uwanja
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Jakaya Mrisho Kikwete ameipa klabu ya Simba Sh 30 milioni kwa ajili ya kukomboa hati yao ya kiwanja cha Bunju B, Dar…
Tegete aambiwa arudi shule au ahame Yanga
BABA mzazi wa straika wa Yanga Jerry Tegete, John Tegete amemtaka mwanae achague mawili ifikapo mwisho wa msimu huu iwapo ataendelea kusugua benchi kwenye kikosi hicho. Kocha huyo wa zamani…
Hii hapa video mpya ya Izzo B.
Izzo B ni miongoni mwa wasanii wanaowakilisha 87.8 Clouds Fm Mbeya hii ni video ya wimbo wake mpya uitwao Tummoghele ambapo upande wa audio yake ilitoka wiki chache zilizopita,tumia dakika…
Video: Lionel Messi aweka rekodi mpya – Barca wakiua Osasuna 7-0
Lionel Messi jana alifunga mabao matatu kati ya 7 yaliyofungwa na FC Barcelona dhidi ya Osasuna katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania uliochezwa jana. Mabao hayo matatu yamemfanya Messi…
Kama ulimis mechi ya Arsenal vs Spurs – nimekuwekea video hii hapa
Pambano wa la watani wa jadi wa jiji la London ya Kaskazini baina ya Arsenal dhidi ya Tottenham lilopigwa jana licheki hapa chini.
Sikiliza hapa Magazeti yakisomwa Redioni leo March 17.
Hii ni kwa ajili yako mtu wangu wa nguvu ambae labda wakati magazeti haya yanasomwa hukuwa na muda wa kusikiliza kutokana na majukumu,mimi nimekurekodia na kukuweka hapa. 88.0 Clouds Fm…
Magazetini leo March 17 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.