Alichosema Mourinho kuhusu wachezaji wa Madrid kupenda kujiremba
Jose Mourinho amezungumza kuhusu tabia ya wachezaji wa klabu yake ya zamani kujali zaidi muonekano wao kuliko hata kushinda makombe. Mourinho ambaye aliondoka Real Madrid baada ya kuifundisha kwa miaka…
Ulimis kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni?yapo hapa.
Inawezekana ulikua bize wakati yanasomwa haya Magazeti au muda haukukuruhusu kufanya hivyo si mbaya mtu wako wa nguvu nakuletea chote kilichosomwa na kujadiliwa kwenye Magazeti ya leo kupitia Power Breakfast…
Mchezo wa Yanga vs Al Ahly wahamishwa, sasa kupigwa mji huu
Baada ya utata juu ya ni sehemu gani utakaofanyika mchezo wa marudiano kati ya wenyeji Al Ahly dhidi ya wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa Young Africans huku…
Magazetini leo March 07 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Mama alivyopeleka hili gari mpaka baharini kwa makusudi huku watoto wakipiga kelele ‘mama anatuua’
Hii imetokea Marekani ambapo mama huyu mwenye umri wa miaka 32 akiwa ni mjamzito, aliamua kuliendesha gari hili na kuliingiza kwenye bahari kwa makusudi huku watoto wake wakipiga kelele kwamba…
Director Nisher anasema hii ndio video inayofata.
Baada ya kuiweka hii picha, Nisher kaandika >>> Kazi mpya hiyooooo inakuja.... nawaonjesha tu! new Artist: BARAKA Da' PRINCE, Song: JICHUNGE Post by Nisher Bybee.
Sio Tanzania tu hata Kenya wanafungia video, hii nayo iko kwenye list. 18+
Siku zinahesabika toka Wasanii watatu wa bongofleva ambao ni Snura, Jux na Dully Sykes kutangaza kwamba video zao za 'nimevurugwa, uzuri wako na kabinti special' zimepigwa stop kuonyeshwa kwenye TV…
Kama ilikupita, hizi picha na video ni za mtoto shabiki wa Neymar alieamua kumfata uwanjani kama hivi
Kama hii ilikupita, ilikua wakati wa mechi ya South Africa vs Brazil iliyochezwa Johannesburg South Africa ambapo wakati wachezaji wapo uwanjani, alijitokeza mtoto ambae ni shabiki wa Neymar na kutaka…
Kauli ya M/kiti kutokana na bunge kuahirishwa baada ya malumbano ya Ole Sendeka na Waziri Hamis
Kwenye bunge maalum la katiba Alhamisi ya March 6 2014 Dodoma, mwenyekiti wa Muda wa Bunge Pandu Ameir Kificho alilazimika kuahirisha semina ya bunge maalum kutokana na kutokea vurugu zilizosababishwa…
Pale king wa mlegezo alipokutana na mkali zaidi yake
Vijana kuvaa milegezo ni miongoni mwa mada ambazo huzungumziwa sana na wakosoaji kwenye uvaaji wa kisasa. Ungana na millardayo.com na kuwa mwanafamilia kupitia facebook.com twitter.com na instagram.com kwa jina hilohilo…