Habari 10 za Amplifaya March6 2014
Amplifaya ni show ambayo husikika kupitia Clouds FM kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa ikiwa na mkusanyiko wa stori 10 za siku kila siku. Ungana na mtu wako wa nguvu Millard Ayo…
Msikilize Mbwiga leo March 06.
Kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa unapata nafasi ya kusikiliza Udambwi dambwi wa Mbwiga wa Mbwiguke na huu unapatikana kupitia Sports Extra ya Clouds Fm,sikiliza kupitia 88.1 Clouds Fm Mwanza. Bonyeza play…
Huu ndiyo wizi unaotumika kwenye mitungi ya Gesi.
Kama mtumiaji wa Gesi labda ukiwa nyumbani au kazini kuna wakati unahisi labda gesi inawahi kuisha au mara kadhaa umekua ukiwalaumu wapishi au wasichana wa kazi kwa kuhisi wana matumizi…
Hii ni kuhusu tuhuma mpya za Cosmas Chidumule zinazomkabili.
Leo Soud Brown ame-amplify taarifa zinazomhusu muimbaji wa nyimbo za Injili Cosmas Chidumule ambazo inasemekana kakiuka makubaliano waliyokubaliana na msambazaji wa kazi huko Njombe,sikiliza kupitia 92.9 Clouds Fm Njombe. Bonyeza…
Sikiliza wimbo mpya wa Snura Ushaharibu.
Huu ni wimbo mpya wa Snura unaitwa Ushaharibu ni wimbo wa pili baada ya Nimevurugwa ambao wimbo huo umeingia kwenye headline za kufungiwa wiki chache zilizopita,video ya wimbo huu umekwifanywa…
Picha za Ommy Dimpoz aki-shoot video ndani ya London
Omari Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz kwa muda mrefu yupo London ambapo ametumia muda huo kuangalia mechi za ligi ya uingereza pamoja na kuhudhuria show ya Beyonce na Jay Z…
Video ya Jux iliyosimamishwa Tanzania yaanza kurushwa Channel O
Video ya Uzuri wako kutoka kwa msanii Jux imezuiliwa kurushwa kwenye vituo vya TV kwa hapa Tanzania kutokana na sababu za zilizosemekana kuwa ni za kimaadili. Leo hii 6/3/2014 Jux…
Hii ndio rekodi mpya ya mabao aliyoiweka Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo ameandika historia mpya katika soka jana usiku kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Cameroon ambapo Ureno walishinda mabao matano kwa moja. Ronaldo ambaye alifunga mabao mawili kwenye mchezo…
Alichosema Kelvin Yondan kuhusu namna ya kucheza ugenini dhidi ya Al Ahly
BEKI wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani ‘Vidic’, ameibuka na kudai kuiua Al Ahly kwao inawezekana kabisa, lakini itakuwa hivyo kama tu wachezaji wote watacheza kwa ushirikiano na kusaidiana uwanjani…
Okwi sasa adaiwa billioni 2 za kitanzania na klabu hii
KLABU ya Etoile du Sahel ya Tunisia imewasilisha barua ya kurasa tatu Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ikimtaka mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi awalipe Dola 1.3 milioni za Kimarekani…