Breaking:Bunge laahirishwa,sababu ipo hapa.
Kutoka Mjengoni Dodoma Bunge la kujadili katiba limehairishwa na Mwenyekiti baada ya kutokea kwa vurugu baada ya kutoelewana kwa baadhi wabunge kati ya Mh. Aboubakary ambaye ni Mwakilishi Mkuu wa…
Huyu ndio mchezaji atakayekuwa akilipwa fedha nyingi baada ya Ozil Arsenal
Baada ya kufanya vizuri sana katika klabu ya Arsenal msimu huu, uongozi wa klabu hiyo sasa upo tayari kumuongeza mkataba mpya kiungo Aaron Ramsey. Kwa mujibu wa taarifa zilizogaa kwenye…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo March 06 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya Ujerumani vs Chile – Ozil na Gotze wafanya yao
Ushirikiano wa kiungo wa Bayern Munich Mario Gotze na kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ulizaa matunda jana usiku katika mchezo wa kirafiki baina ya Ujerumani dhidi ya Chile. Wachezaji wawili…
Video: Brazil vs S.A – Hiki ndicho Neymar na wenzake walichoifanya South Afrika jana
Mabao matatu ya mwanasoka Neymar anayekipiga Barcelona, yaliisaidia timu ya taifa ya Brazil kuiadhiri South Afrika katika rdhi ya nyumbani kwao. Katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa huko South…
Video: Matokeo Ivory Coast vs Belgium – walichofanya Drogba na Fellaini
Mabao ya wachezaji Didier Drogba na Gradel yaliiokoa Ivory Coast kukumbana na kipigo dhidi ya Belgium katika mchezo wa kirafiki uliocheza jana usiku. Belgium inayoundwa na mastaa kama Eden Hazard,…
Video: Hivi ndivyo Spain walivyoendelea kuionea Italia
Mabingwa wa Dunia timu ya Taifa ya Spain jana iliendeleza rekodi yake nzuri dhidi ya Italia baada ya kuifunga kwa bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao la…
Video: Hivi ndivyo Ronaldo na wenzie walivyoiadhibu Cameroon
Cristiano Ronaldo jana aliingoza Ureno kuitandika timu ya taifa ya Cameroon kwa mabao 5-1 katika mchezo wa kirafiki baina ya timu hizo mbili za taifa. Mabao ya Ureno na Ronaldo…
Angalia video na matokeo ya mchezo wa Ufaransa vs Uholanzi
Mchezo wa kirafiki kati ya Uholanzi dhidi ya Ufaransa uliopigwa jana ulimalizika kwa Ufaransa kuitandika Uholanzi mabao 2-0 . Mabao ya Ufaransa yalifungwa mshambuliaji Karim Benzema na kiungo Matuidi anayekipiga…
Matokeo ya England vs Denmark, angalia na video ya marudio ya mchezo
Timu ya Taifa ya England jana usiku imefanikiwa kuichapa Denmark 1 - 0 katika mchezo wa kirafiki. Goli la mchezo huo lilifungwa na mshambuliaji hatari wa klabu ya Liverpool Daniel…