Diamond anauliza kama anaweza kuigiza au la?, cheki hizi video na umpe jibu.
Diamond platinumz amepost hizi video tano kwenye page yake ya instagram na kuuliza swali "Je, unadhani naweza ku-act?". Ziangalie hapa na umpe jibu hapo chini kama kweli anaweza au la.
Alichosema Schmeichel kuhusu kuondolewa kwa wachezaji wanamuangusha Moyes
Golikipa wa zamani wa Manchester United Peter Schmeichel anaamini David Moyes ni mtu sahihi kabisa kuiongoza klabu hiyo ya Old Trafford. Mabingwa watetezi wa EPL wamekuwa na msimu mbaya zaidi katika…
Kuhusu Mchepuko Live uliotokea Morogoro,sikiliza kupitia Hekaheka ya leo.
Matangazo yanayoendelea hivi karibuni yanayohusu Mchepuko unaweza kudhani ni utani kwa sababhu pengine hujayasikia au kuyaona,hizi ni dakika 15 za kusikiliza Mchepuko alioufanya mke wa mtu kupata kupata watoto wawili…
Picha 8 za mgomo wa Matatu Kenya leo na sababu zake.
Unaambiwa ada mpya ya kuegesha magari Nairobi imeleta utata miongoni mwa wadau katika sekta ya daladala zao a.k.a Matatu na miji ya karibu ambapo kwa sasa shughuli zimesimama Nairobi, kuanzia…
Kama upo Dar,leo Maisha Club kuna hii.
Maisha club ndio club pekee Tanzania inayojaribu kuwaunganisha Watanzania kwenye mikoa mbalimbali kwenye sekta ya Burudani kwa kuwa na matawi kwenye mikoa kadhaa ya Tanzania,ambayo mpaka sasa Maisha Club ipo…
Baada ya mashabiki 10,000 kumkataa Cleverley timu ya taifa, kocha Roy Hodgson awajibu
Siku chache baada mashabiki kupeleka ombi rasmi la kumzuia mchezaji Tom Cleverley kuitwa kwenye kikosi cha England kitakachoshiriki kwenye michuano ya kombe la dunia 2014 huko Brazil, leo hii kocha…
Dakika 8 za Nikki wa II akiongea kuhusu Lord Eyez on AyoTV
Ni stori ambayo imeanza kusambaa toka March 4 2014 kwamba kampuni ya WEUSI ambayo Wanachama wake ni Joh Makini, Nikki wa II, G Nako, Bonta na Lord Eyez, imemsimamisha kazi…
Huyu ndio mama mzazi wa Nicki Minaj, ameanza kuimba na yeye.. msikie hapa
Kama ilivyo kwa msanii kama Dully Sykes ambae yeye na baba yake wote wanafanya muziki, ndio imetokea hivyo pia kwa rapper Nicki Minaj wa Young Money ambapo mama yake mzazi…
Sikiliza hapa Magazeti yakisomwa Redioni leo March 05.
Karibu usikilize uchambuzi wa Magazeti leo March 05 kupitia Power Breakfast ambapo hapa utapata kusikiliza alichokizungumza Rais Jakaya Kikwete kuhusu kinachoendelea kwenye bunge la katiba huko Dodoma,sikiliza kupitia 104.4 Clouds…
Magazeti ya leo March 05 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.