Wajue watu maarufu wa Tanzania ambao Jux anawakubali kwenye kupendeza.
Mara nyingi ikitajwa listi ya watu maarufu wanaojua kupendeza basi jina la Jux huwa halikosi kwenye hiyo list. Hata wakati mwingine akitajwa kuwa yeye ndiyo mkali wa kupiga pamba kwa…
Habari 10 za Amplifaya March 4 2014.
Amplifaya ni show ambayo ipo Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on CLOUDS FM ambayo inahusika kuzihesabu habari 10 kubwa za siku kutoka kwenye siasa, muziki, michezo, movies, maisha…
Cheki megamix video ya jinsi kigodoro ndani ya Dar Live kilivyoenda.
Kwenye hii video utamuona mkali wa vigodoro anaitwa Msagasumu akiwapagawisha mashabiki wake ndani ya Dar Live ambapo kulifanyika uzinduzi wa movie ya Kigodoro. Kitu kingine ni pale Wema Sepetu alipoimba…
Msikilize Mbwiga wa March 4 2014
Hizi ni taarifa za kimichezo anazozi-amplify Mbwiga wa Mbwiguke kila Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia Sports Extra ya Clouds Fm,sikiliza kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya. Bonyeza play kusikiliza.
Taarifa kuhusu mchezaji wa Olympiakos aliyezarai uwanjani
Hali ya afya ya mshambuliaji wa Olympiakos Michael Olaitan aliyelazwa katika hospitali moja nchini Ugiriki inasemekana kuwa nzuri. Mchezaji huyo alikimbizwa hospitalini baada ya kuzirai wakati wa kipindi cha kwanza…
Hiki ndicho alichosema Ray C kuhusu kukamatwa kwa Lord Eyez
Aliyekuwa mpenzi wa rapper Lord Eyez, mwanamuziki Rehema Chalamila aka Ray C amezungumzia kuhusu sakata la wizi linalomkabili rapper huyo ambaye ni member wa group la Nako 2 Nako Soldiers.…
Hiki ndico walichosema mabeki Owino na Mosoti kuhusu wachezaji wanaoiangusha Simba
BEKI wa Simba, Joseph Owino amewatupia lawama viungo wa kati wa timu hiyo akidai kuwa wanajisahau na kuzikimbia nafasi zao huku wakiingilia majukumu ya viungo wa pembeni, lakini Donald Mosoti…
Breaking News: Baada ya kipa Valdes, huyu ndio mchezaji mwingine aliyetangaza kuondoka Barca
Golikipa wa klabu ya FC Barcelona Victor Valdes alishatangaza tangu msimu uliopita kwamba hatoongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo na kwamba angeondoka Nou Camp baada ya msimu huu ambapo…
Wachezaji hawa wawili waongeza mikataba Arsenal
Baada ya kupoteza mechi yake iliyopita ya ligi kuu ya England klabu ya Arsenal leo imewapa habari nzuri mashabiki wake baada ya kutangaza wachezaji wao wawili wameongeza mikataba ya kuendelea…
Kilichosemwa na TFF kuhusu wachezaji wa Twiga Stars waliotolewa kambini na kocha wao.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) bado linatafakari hatua zaidi za kinidhamu dhidi ya wachezaji wawili wa kikosi cha Twiga Stars walioondolewa kwenye timu hiyo na Kocha Rogasian Kaijage.…