Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo March 04 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Hizi hapa ni picha 5 za utengenezaji wa video ya Tummoghele ya Izzo B.
Baada ya kuachia audio Izzo B alikuwa kwenye matayarisho ya video ya wimbo wa Tummoghele. Video ya wimbo huo inafanywa na E media na kitu kingine kama kawaida ya Izzo…
Selfie iliyovunja rekodi kwa kupata re-tweet zaidi ya milion 2.9
Matumizi ya camera ya mbele kwenye smartphones yamekuwa makubwa kutokana na trend ya selfie kushika hatamu kipindi hiki. Kwenye Oscar awards simu ya mtangazaji Ellen DeGeneres ilitumika kupiga selfie na…
50 Cent awachokoza tena Rick Ross na P Diddy
Mara ya mwisho 50 Cent aliwachokoza Rick Ross na P. Diddy kwa ku-post picha ambayo inaonyesha kama marafiki hao wanataka ku-kiss wakiwa kwenye hatua kupeana hug. 50 Cent amerudia tena…
Msikilize Mbwiga leo March 03.
Kawaida ya millardayo.com ni kukuweka karibu na baadhi ya vitu kama hivi ambavyo unamis kwa bahati mbaya sasa Udambwi dambwi wa Mbwiga leo March 03 unawahusu timu ya Simba,sikiliza kupitia…
Ijue list mpya kutoka Forbes ya watu wenye pesa nyingi duniani.
Forbes.com kwa mara nyingine wametaja list ya watu wenye pesa nyingi zaidi duniani ambapo wanasema kwamba hivi sasa kuna mabilionea 1,645 duniani. Ripoti inasema kwamba wamewapata mabilionea wapya kwenye nchi…
Jumla ya mapato yaliyopatikana kwenye mechi ya Yanga na Al Ahly.
Mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyochezwa 01 March 2014 iliyohusisha timu ya Yanga na Al Ahly kutoka Misri kwenye Uwanja wa Taifa Dar es salaam umeingiza jumla ya fedha…
Kuhusu Dada aliyesababisha foleni jijini Dar.
Hii ni imetokea hapa 88.5 jijini Dar na kusababisha foleni kubwa baada ya dada mmoja kuamua kuleta foleni na kuleta mzozo mkubwa kati yake na traffic aliyekuwa barabarani muda huo,ingawa…
Baada ya Facebook kuinunua Whatsapp – hili ndio zuri jipya kuhusu application hiyo
Mambo mengine ni rahisi kunena kuliko kuandika.Baada ya Facebook kununua mtandao wa kutuma ujumbe mfupi, Whatsapp kwa bilioni 19 dola za kimarekani, sasa huduma hiyo itaanzisha huduma za kupiga simu…
Mrisho Ngassa amzungumzia Amiss Tambwe wa Simba – hiki ndicho alichosema
Kwa mara nyingine tena katika kipindi cha wiki mbili, winga machachari wa klabu ya Yanga Mrisho Khalfan Ngassa amemsifia mshambuliaji wa timu mahasimu Simba Mburundi Amiss Tambwe. Akitumia akaunti…