Picha 7 za mwigizaji Lulu Mahakamani leo na maelezo yake.
Leo February 17 kutoka Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam mwigizaji Elizabeth Michael maarufu Lulu alikuwa akisomewa shitaka lake la kumuua bila kukusudia msanii mwenzake wa maigizo Steven Kanumba…
kuhusu huyu Dada aliyemuua mdogo wake,kisa na sababu sikiliza Hekaheka ya leo hapa.
Hizi ni hekaheka ambazo unazisikiliza kila Juma tatu mpaka Ijumaa kupitia Leo Tena kuanzia sa 6:30 mchana ambazo hua zinahusisha matukio yanayotokea mtaani yakiwa ya kustaajabisha na kushangaza,hii ni kuhusu…
Namna NMB ilivyoamua kuwa karibu zaidi na wateja wake.
Benki ya NMB imezidi kukuweka karibu wewe mtumiaji wa benki hii ambayo kwa sasa imeshirikiana na Tigo Pesa kukusogezea huduma za kibenki karibu zaidi na kwenye vidole vyako. Ambapo…
Wanajeshi walichomfanyia Young Killer Mwanza.
Ni stori kutoka Mwanza ikimuhusu Young killer zao la Fiesta Super Nyota 2012 kuhusu kufanyiwa kitu ambacho hakukitegemea na Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ. Bonyeza play kusikiliza.
Baada ya ukimya wa kutosikika Redioni, Dina Marios amepost hii picha
Ni muda kidogo mtangazaji Dina Marious hajasikika kwenye Leo Tena ya Clouds FM ambayo amekua akiifanya, kama hukuwahi kupata jibu ni kwamba alikua mjamzito ambapo kwa sasa ameshajifungua na kushea…
Huu ndio msamaha aliouomba mchezaji Giroud wa Arsenal sababu ya hii picha.
Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal Olivier Giroud ameomba msamaha hadharani kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kufuatia kugundulika kwa usaliti kwenye ndoa yake. Kwa takribani wiki moja sasa hivi kumekuwa…
Kama ulipitwa na mechi, haya hapa marudio ya mabao ya mchezo wa Real Madrid vs Getafe
Baada ya juzi usiku Barcelona kuifunga Rayo Valacano mabao 6-0 na kuendelea kukaa kwenye kilele cha ligi kuu ya Spain, jana usiku Real Madrid wanaoshika nafasi ya pili waliifumua Getafe…
Chukua nafasi hii kuangalia mabao ya mchezo wa Arsenal vs Liverpool
Siku ya jana klabu ya Arsenal iliweza kulipiza kisasi cha kufungwa mabao 5-1 na Liverpool katika EPL, baada ya kuitandika 2-1 Liverpool katika mchezo wa raundi ya 5 ya kombe…
Baada ya Old Trafford huu utakuwa uwanja wa pili kwa ukubwa England
Ndoto za klabu ya Manchester City kuwa na uwanja mkubwa zaidi zimeanza kutimia mara baada ya madiwani wa baraza la jiji la Manchester kupitisha mpango huo. Klabu hiyo ya Uingereza…