Baada ya Migomo ya Wafanyabiashara,Hili ndilo tamko la TRA.
Kufuatia migomo inayoendelea kwa Wafanyabiashara wa Mikoa mbali mbali ya Tanzania,Mamlaka ya Mapato Tanzania leo wametoa tamko lao juu ya hali hii ambayo kiukweli inawanyima huduma wananchi wa mikoa iliyo…
Hiki ndicho walichokisema Madee na Nuh Mziwanda juu ya uhusiano wao na Shilole.
Kuna stori ziliwahi kutoka kuwa Shilole ana mahusiano ya kimapenzi na Nuh Mziwanda,sasa Madee nae kazungumza kitu na hii ni baada ya kusemekana kuwa Shilole kamuacha Nuh Mziwanda kwenda kwenye…
Kama ulim-mis Ray C kwenye uimbaji hii hapa kauli yake kwako.
Tangu itoke taarifa ya Ray C kuwa sawa kiafya Watanzania wengi na mashabiki wanatamani kumuona Ray C akiwa jukwaani ama wimbo wowote mpya toka kwake,kama nawe hili lilikua swali lako…
Picha za utengenezwaji wa video ya wimbo wa World Cup 2014
Wasanii Jeniffer Lopez na Pitbul jana wameshoot video ya mpya ya wimbo maalum wa kombe la dunia 2014 "We Are One" nchini Brazil.
Hii ni nafasi yako kusikiliza wimbo mpya kutoka kwa P Square
[soundcloud soundcloudurl="https://soundcloud.com/xxl23/p-square-taste-the-money" ]
Wale wa Director Nisher hii inawahusu.
Ukizungumza jina la Director Nisher sasa hivi kwa mdau yoyote wa muziki anaweza asione kama jina geni kwake na hii ni baada ya kuingia rasmi kwenye sekta ya uongozajiwa video…
Taarifa za ajali ya ndege iliyoua watu 77
Ilitoka ripoti kuwa ndege hiyo ilikuwa na watu 103 lakini maafisa wa ulinzi walitangaza tena kwamba ilikuwa na watu 78. Ajali hiyo ambayo mtu mmoja tu ndiyo amenusurika na anapata…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redion leo February 12.
Naomba kukuunganisha moja kwa moja kusikiliza Magazeti yakisomwa na Kuchambuliwa kupitia kipindi cha Power Breakfast,Magazeti haya kwa leo yanachambuliwa na Gerald Hando sikiliza kupitia 89.3 Clouds Fm Kigoma. Bonyeza play…
Magazeti ya leo February 12 2014, Udaku, Michezo na Hardnewz
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Mtazame Ronaldo akifunga magoli mawili kuipeleka Madrid fainali Copa Del Rey
Cristiano alifunga mabao mawili kwa mikwaju ya penati na kuiwezesha timu yake kushinda kwa mabao mawili dhidi ya Atletico Madrid ambapo kwenye game ya kwanza ya hawa mahasimu iliisha kwa…