Ya jioni hii…. nguzo za umeme zilivyoanguka Mwembeyanga Dar es salaam, picha na maelezo
Unaambiwa nguzo za umeme zimedondoka maeneo ya Mwembeyanga barabara ya Tandika-Posta ambapo kondakta wa daladala iliyohusika kwenye tukio amesema walikua wakisikia vitu kama cheche vinatoka kwenye nguzo hizo. Baada ya…
Jinsi Justin Bieber alivyokamatwa na polisi na kuweka ngumu
Unaambiwa Justin Bieber amekamatwa baada ya kudaiwa kuendesha gari kwa spidi huku akiwa amekunywa kilevi lakini pia upande wa pili unasema leseni yake ilikua imekwisha muda wa matumizi vilevile Polisi…
Huu ndio uongozi Mpya wa Simba, soma kipya walichosema kuhusu Okwi
Club ya Simba leo imefanya mabadiliko kwenye sekretarieti yake kwa kumteua Ezekiel Kimwaga kuwa Katibu Mkuu wa Simba ambaye kabla alikua Evodius Mtawala ambaye kwa sasa amepata ajira mpya kwenye…
Uamuzi wa mke halali baada ya kuigundua ‘Nyumba Ndogo’ ya Mumewe. #Uswahilini
Bado uswahilini kunazidi kutokea vioja kila siku, Hekaheka ya Leo Tena ya Clouds FM January 23 2014 inatukutanisha na hii iliyomkuta jamaa anaesemekana kuwa Dereva wa gari la Serikali, anadaiwa…
You heard ya leo Jan 23 inamuhusu rapper Wakazi na Nash MC, isikilize hapa
Pengine inaweza kuwa ni utaratibu wa wasanii wa Hip hop kuwa na 'bifu' au kutengeneza kitu kinachoashiria utofauti wowote juu yao sikiliza jinsi Nash Mc kutoka Tamaduni Music alichokisema kuhusu…
Real Madrid yaendelea kuongoza kuingiza fedha nyingi, Man U je?
Klabu ya Real Madrid imeendelea kuwa klabu tajiri zaidi duniani kwa msimu wa tisa mfululizo, kwa mujibu wa orodha ya vilabu tajiri iliyochapishwa na kampuni ya uhasibu ya Deloitte. Klabu…
Kuhusu mpango wa serikali ya Kenya kuanza kuwakata kodi Wanariadha.
Wanariadha wa Kenya wameapa kupinga mpango wa serikali wa kuwalazimisha kulipa kodi kutokana na mapato yao ambapo Jumanne ya January 22 2014, Mamlaka ya utozaji ushuru KRA ilitangaza kwamba mapato…
Kuhusu kesi ya wachezaji Ribery na Benzema Ufaransa kumbaka huyu mrembo.
Wacheza soka wawili mashuhuri duniani wa timu ya taifa ya Ufaransa wamefikishwa mahakamani mjini Paris Ufaransa kwa kosa la kufanya ngono na kahaba aliyekuwa na umri mdogo Zahia Dehar .…
Mkwanja wa mauzo ya kitabu cha Sir Alex Ferguson ulipofikia.
Kitabu cha pili cha maisha ya kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United, "Alex Ferguson: My Autobiography", kilichoanza kuuzwa mwezi October 2013, na kuuza jumla ya nakala 115,000 katika…
Juan Mata huyooooo Manchester…
Mchezaji Juan Mata anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya leo kujiunga na klabu ya Manchester United baada ya Chelsea kukubali kumuuza kwa ada ya uhamisho ya £37m. Club za Manchester…