Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama samia yazinduliwa rasmi Lindi
Kampeni ya kitaifa ya msaada wa kisheria ya mama Samia imezinduliwa rasmi katika mkoa wa Lindi kwa kuhakikisha wananchi wananufaika kwa kupata haki zao ambazo awali walikuwa wamenyang'anywa. Akizungumza kampeni…
Akamatwa kwa kuchoma nyumba ya aliyekuwa anazungumza na Ex wake
Mwanaume mmoja kutoka Michigan Nchini Marekani amekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya jaribio la mauaji kwa kukusudia baada ya kusafiri zaidi ya kilomita 1,000 kwenda Pennsylvania na kuchoma moto nyumba ya…
Jeraha la Harry Kane lawapa wasiwasi Bayern Munich
Harry Kane alilazimika kuondoka uwanjani mapema katika pambano la jana la UEFA Champions League kati ya Bayern Munich na Celtic, nafasi yake ikichukuliwa na Kingsley Coman wakati wa mapumziko. Mshambulizi…
Sheikh Jassim wa Qatar na ndoto ya kuinunua Manchester United
Sheikh Jassim kutoka Qatar anasalia na nia ya kutaka kuinunua Manchester United, licha ya hali ya sasa ya umiliki wa klabu hiyo, linaripoti kituo cha Centre Devils, kilicho karibu na…
Wasiwasi waongezeka katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huku waasi wa M23 wakisonga mbele
Wakati waasi wanaoungwa mkono na Rwanda wakitembea katika mitaa ya mashariki mwa jiji la pili kwa ukubwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ofisi ya Rais Felix Tshisekedi ilidai kuwa…
Mtalii aliwa mikono na papa alipokuwa akijaribu kupiga picha
Mtalii kutokea Kanada amepatikana akiwa katika hali mbaya baada ya kudaiwa kung'atwa mikono yake yote miwili baada ya kushambuliwa na papa alipokuwa huko Turks na Caicos alipokuwa akijaribu kupiga picha…
Elon Musk hatahusika katika migogoro ya kimaslahi juu ya makampuni yake na kazi :Trump
Rais wa Marekani Donald Trump na bilionea Elon Musk walijibu Jumanne madai ya migongano ya kimaslahi kuhusiana na jukumu la Musk katika kuendesha Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE) na…
Mwanaume wa Urusi afungwa miaka 13 jela kwa madai ya kujaribu kujiunga na jeshi la Ukraine
Mahakama ya Murmansk ilimhukumu mwanamume mmoja kifungo cha miaka 13 jela kwa tuhuma za uhaini kwa madai ya kuwasiliana na msajili wa jeshi la Ukraine, Idara ya Usalama ya Shirikisho…
Trump na Musk wadai kuwa wanaanga 2 waliokwama angani wameachwa kwa “Sababu za Kisiasa”
Rais wa Marekani Donald Trump na mshauri wake Elon Musk wamedai kuwa wanaanga wa NASA Sunita Williams na Butch Wilmore "waliachwa" katika Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS)…
RC Chacha aagiza kumsimamishwa kwa Meneja wa Wakala wa huduma ya Ununuzi Serikalini Tabora
Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha amemuagiza Katibu Tawala wa mkoa huo kumsimamishwa Meneja wa Wakala wa huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) mkoa wa Tabora, Mayala Mburi kwa tuhuma…