Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Nashindwa kuelewa kama walinituhumu kweli nimeiba cheche” – Dimpoz
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > “Nashindwa kuelewa kama walinituhumu kweli nimeiba cheche” – Dimpoz
Habari za Mastaaon air with millardayo

“Nashindwa kuelewa kama walinituhumu kweli nimeiba cheche” – Dimpoz

July 17, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Mwimbaji wa Bongofleva Ommy Dimpoz alikaa kwenye On Air with Millard Ayo na kuzungumza ishu mbalimbali baada ya kusaini kuwa chini ya management ya Rock Star ikiwemo ishu ya kutuhumiwa kuiba wimbo wa cheche.

Dimpoz alisema “Kwanza nashindwa kuelewa, sikupata statement sahihi kutoka upande wa kina Abby Dadi lakini kama wameongea hivyo watakua wamekosea… siku naitambulisha hii ngoma kwenye XXL nilisema sikuiandika mimi, iliandikwa na Lolly Pop na kuwa produced na Kid Boy (Dope tunes).

“Dope Tunes ndio wenye credits na nilishamalizana nao kuwalipa kila kitu, ngoma ilipotoka ndio nimepata comments za watu kwamba sio wimbo wangu ikabidi niwaulize Dope Tunes wakasema hata sisi tunashangaa sababu Lolly Pop anasema wakati anatengeneza hiyo idea aliianzia kwenye studio ya Abby Dadi’

Full Interview Ommy Dimpoz akiongea bonyeza play hapa chini

VIDEO: “Mimi na Wema Sepetu tunakutana sana” – Diamond Platnumz…… Full Video hapa chini

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: bongo
Millard Ayo July 17, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article CEO wa SportPesa amewakubali Watanzania
Next Article MSIBA KANISANI: Ni watu wawili waliofariki wakibatizwa Kilimanjaro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?