June 6, 2018 Mbunge wa Dodoma mjini Anthony Mavunde amezindua mfumo wa kieletronic wa utoaji tiketi wa magari ya abiria ya kampuni ya Shabiby ambapo kwa sasa abiria watakuwa na uwezo wa kununua tiketi kwa kutumia simu zao za mkononi.
KAMA ULAYA TU!! Unavyoweza kukata tiketi za bus kwa kutumia simu
Leave a comment
Leave a comment