Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mwenyekiti wa baraza la Wazee Chadema afikishwa Mahakamani
Share
Notification Show More
Latest News
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhusa wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
March 22, 2023
“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi
March 22, 2023
Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini
March 22, 2023
‘Serikali kutumia Matokeo ya tafiti kwa maslahi ya Taifa’- Rais Mwinyi
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mwenyekiti wa baraza la Wazee Chadema afikishwa Mahakamani
Top Stories

Mwenyekiti wa baraza la Wazee Chadema afikishwa Mahakamani

October 7, 2021
Share
2 Min Read
SHARE

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee CHADEMA Hashim Juma Issa (63), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka mawili ikiwemo kuchapisha taarifa za uchochezi kwa lengo la kumdhalilisha Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro. 

Akisoma mashtaka hayo, Wakili wa Serikali Yusuph Aboud alidai Mshitakiwa huyo alitenda makosa hayo October 1 mwaka huu mtaa wa Ufipa, Kinondoni, Dar es Salaam ambapo katika shitaka la kwanza ilidaiwa akiwa eneo hilo alichapisha taarifa ya uongo kwa njia ya kompyuta na kusambaza katika mtandao wa YouTube kwa lengo la kumchafua na kumdhalilisha Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro.

Ilidaiwa alichapisha kuwa ‘IGP Sirro ni gaidi namba moja hapa nchini Tanzania na fisadi’ na katika shitaka la pili ilidaiwa katika tarehe na eneo hilo, alichapisha taarifa ya uchochezi kwa lengo la kutengeneza chuki kwa Wananchi dhidi ya IGP Sirro kuwa ‘IGP Sirro ni gaidi namba moja hapa nchini Tanzania na fisadi’.

Baada ya kusomewa mashitaka hayo upande wa mashitaka ulidai upelelezi wa kesi hiyo upo katika hatua za mwisho hivyo wapangiwe tarehe nyingine ya kutajwa na Hakimu alikubali ombi hilo na kuahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 28 mwaka huu huku Mshitakiwa akiachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana likiwemo kuwa na wadhamini  wawili wenye vitambulisho vya kura au cha taifa watakaosaini bondi ya Sh.Mil 3 kila mmoja.

MAJALIWA ACHUKIZWA WAMAMA KUTOKEA BARABARANI NA NDOO, AMUITA MHANDISI ‘TUAMBIE UKWELI, HAUJIAMINI’

You Might Also Like

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhusa wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”

“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi

Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini

‘Serikali kutumia Matokeo ya tafiti kwa maslahi ya Taifa’- Rais Mwinyi

TAGGED: Kisutu, Mahakamani
Edwin TZA October 7, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Majaliwa achukizwa wamama kutokea barabarani na ndoo (video+)
Next Article Serikali kupokea ndege mbili, Waziri Mbarawa afunguka ‘Ndege hii zitapokelewa Zanzibar’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhusa wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
Top Stories March 22, 2023
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
Top Stories March 22, 2023
“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi
Top Stories March 22, 2023
Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhusa wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Top Stories

Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”

March 22, 2023
Top Stories

“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi

March 22, 2023
Top Stories

‘Serikali kutumia Matokeo ya tafiti kwa maslahi ya Taifa’- Rais Mwinyi

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?