Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Simba SC wameiua Stand United, Juuko na Wawa wamemdhibiti Kitenge
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Simba SC wameiua Stand United, Juuko na Wawa wamemdhibiti Kitenge
Sports

Simba SC wameiua Stand United, Juuko na Wawa wamemdhibiti Kitenge

October 21, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara Simba SC leo Jumapili ya October 21 2018 walikuwa uwanja wa Taifa Dar es Salaam kuwakaribisha Stand United ya Shinyanga katika game yao ya nane ya Ligi Kuu msimu huu.

Simba wakiwa nyumbani ikiwa siku moja imepita tokea muwekezaji wao Mohammed Dewji apatikane baada ya kutekwa, wamefanikiwa kupata ushindi wa magoli 3-0, magoli ya Simba yalifungwa na Chama dakika ya 30, Emmanuel Okwi dakika ya 45 na mwishi likafungwa kwa Mlilo kujifunga mwenyewe dakika ya 78, ukuta wa Simba SC uliokuwa chini ya Psacal Wawa na Juuko walifanikiwa kumdhibiti mshambuliaji mahiri wa Stand United Kitenge.

Ushindi huo sasa unaifanya Simba SC ifikishe jumla ya point 17 katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu huu, ushindi huo sasa kwa mujibu wa kocha wa Simba SC Patrick Aussems amesema wameutoa kwa muwekezaji wao Mohammed Dewji baada ya kupatika, Simba inacheza Jumatano ijayo na Alliance ya Mwanza hapa hapa uwanja wa Taifa.

“Sijaona hata mchezaji mmoja mwenye akili kama Ajib”-Kocha wa Yanga

You Might Also Like

Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA October 21, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Neno la Askofu Gwajima baada ya Mohammed Dewji kupatikana. (+video)
Next Article VideoMPYA: Video yenye ndoa bandia ya Karen na Petitman hii hapa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?