Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VideoFUPI: Zlatan amekubali adhabu ya kufungiwa baada ya kumpiga kiwiko Tyrone
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > VideoFUPI: Zlatan amekubali adhabu ya kufungiwa baada ya kumpiga kiwiko Tyrone
Sports

VideoFUPI: Zlatan amekubali adhabu ya kufungiwa baada ya kumpiga kiwiko Tyrone

March 7, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Mshambuliajia wa kimataifa wa Sweden anayeichezea Man United ya England Zlatan Ibrahimovic, ameamua kukubali adhabu iliyotolewa dhidi yake na chama cha soka England FA, kufungiwa kucheza mechi tatu baada ya kukutwa na hatia ya kumpiga kiwiko beki wa AFC Bournemouth Tyrone Mings.

Zlatan alitenda kosa hilo wakati wa mchezo wa Jumamosi ya March 4  2017  kati ya Man United dhidi ya AFC Bournemouth, mchezo ambao ulichezwa katika uwanja wa Old Trafford na kumalizika kwa sare ya kufungana goli 1-1, Zlatan sasa atakosa mchezo wa robo fainali ya FA Cup vs Chelsea na mechi za EPL za Middlesbrough ana West Brom.

Hata hivyo Tyrone Mings pia anakosa kwa kuonesha utovu wa nidhamu wakati wa mchezo, kitendo ambacho kinapingwa vikali na timu yake ya AFC Bournemouth na wanapanga kukata rufaa dhidi ya nyota huyo ambaye anaweza pia kukumbana na adhabu.

Staa wa ManUnited Zlatan Ibrahimovic amekubali adhabu ya kufungiwa mechi 3 kwa kosa la kumpiga kiwiko Tyrone Mings wa AFC Bournemouth. pic.twitter.com/hKahu13NjH

— millard ayo (@millardayo) March 7, 2017


ALL GOALS: SIMBA VS MBEYA CITY MARCH 4 2017, FULL TIME 2-2

You Might Also Like

Pochettino Kocha Mpya Chelsea

Mario Balotelli atabiri fainali ya Man City vs Inter Milan juni 10

Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid

Picha: Yanayojiri kwa Benjamini Mkapa, mashabiki wafurika nje kushuhudia mechi ya Yanga SC dhidi ya USM Alger

Live: Ali Kamwe aongoza Shangwe la Fainali Mbagala Zakheim, Tazama kinachoendelea muda huu

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA March 7, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA 15: Mvua ya jana Dar es salaam ilivyoharibu nyumba za Pugu Kigogo
Next Article Video: Kituo cha Mafuta kilichowaka moto Tegeta DSM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?